Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Kuelekea tarehe 29 Oktoba 2025 napenda kuwaambia hawa wanasiasa mafisadi wanaotulisha propaganda za amani ili waendelee kuishi vizuri kwa ufisadi wanaofanya kwenye kodi zetu na mali zetu wanachi.
Safari hii Wananchi tumekataa kuitunza amani ili wao waishi maisha ya ukwasi kwa kodi zetu huku sisi tuliteseka bila ajira, maji, dawa hospitalini pamoja na mitaji ya uhakika na mbaya zaidi wakituteka na kutuua tunaodai haki zetu.
29 Oktoba tunatoka na kuwafundisha hawa Mafisadi CCM kuwa mwenye nchi ni mwananchi.
Safari hii Wananchi tumekataa kuitunza amani ili wao waishi maisha ya ukwasi kwa kodi zetu huku sisi tuliteseka bila ajira, maji, dawa hospitalini pamoja na mitaji ya uhakika na mbaya zaidi wakituteka na kutuua tunaodai haki zetu.
29 Oktoba tunatoka na kuwafundisha hawa Mafisadi CCM kuwa mwenye nchi ni mwananchi.