Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
Tulikaa na wana wa harakati wenza , tukichambua haya na yale ktk mustqbali wa nchi yetu mambo yaendavyo.
Ghafla tukajikuta tunajadili baadhi ya kauli , za viongozi wetu wa kitaifa , kimajimbo etcetera!
Walizozitoa tokea kipindi hiki kurudi nyuma.
Hata hivyo ktk majumuisho yetu hatukua wahi kupata kwa tamko letu moja , ni ipi kauli iliyobobea kuudhi baina ya zote.
Baadhi ya kauli ni hizi , sanjari na watoa kauli majina yao ktk mabano .
KAULI ;-
> Ikibidi kula nyasi, tutazila ili mradi ndege ya Rais inunuliwe!
(Basil Mramba)
> Foleni -jam za magari Dar , ni ishara ya maisha bora!
(J. K)
> Acheni wivu wa kike wapinzani !
(P. Msekwa)
> Asiyeweza kulipa nauli ya kivuko , apige mbizi !
(Magufuli)
> Nimetumia Helcopter ya jeshi kwenda Urambo mnanung'unika , mlitaka nipande Punda ?
(Kapuya)
> Wabunge wa mkoa wa D'salaam wanafikiri kwa kutumia Makalio!
(M.asa.buri)
> Ukitaka kula , lazima na wewe uliwe! Japo kidogo!
(J.k)
> Mnaniuliza mvua, kwani mimi waziri wa mvua?
(Wasira)
> Kila mwananchi ataubeba msalaba wake!
(Mkulo)
> Kinachowaleteleza wanafunzi kupata mimba , ni viherehere vyao!
(J.k)
> Kila atakae kinzana na nguvu za dola ktk suala la gesi apigwe tu!
(Mizengo)
Naomba kuacha hoja!
Ghafla tukajikuta tunajadili baadhi ya kauli , za viongozi wetu wa kitaifa , kimajimbo etcetera!
Walizozitoa tokea kipindi hiki kurudi nyuma.
Hata hivyo ktk majumuisho yetu hatukua wahi kupata kwa tamko letu moja , ni ipi kauli iliyobobea kuudhi baina ya zote.
Baadhi ya kauli ni hizi , sanjari na watoa kauli majina yao ktk mabano .
KAULI ;-
> Ikibidi kula nyasi, tutazila ili mradi ndege ya Rais inunuliwe!
(Basil Mramba)
> Foleni -jam za magari Dar , ni ishara ya maisha bora!
(J. K)
> Acheni wivu wa kike wapinzani !
(P. Msekwa)
> Asiyeweza kulipa nauli ya kivuko , apige mbizi !
(Magufuli)
> Nimetumia Helcopter ya jeshi kwenda Urambo mnanung'unika , mlitaka nipande Punda ?
(Kapuya)
> Wabunge wa mkoa wa D'salaam wanafikiri kwa kutumia Makalio!
(M.asa.buri)
> Ukitaka kula , lazima na wewe uliwe! Japo kidogo!
(J.k)
> Mnaniuliza mvua, kwani mimi waziri wa mvua?
(Wasira)
> Kila mwananchi ataubeba msalaba wake!
(Mkulo)
> Kinachowaleteleza wanafunzi kupata mimba , ni viherehere vyao!
(J.k)
> Kila atakae kinzana na nguvu za dola ktk suala la gesi apigwe tu!
(Mizengo)
Naomba kuacha hoja!