Ipi ni Hatarishi kati ya kauli ya NDUGAI na kauli ya TULIA?

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,542
11,852
Wanabodi habari!

Naenda kwenye mada yangu moja kwa moja!

NDUGAI yeye alitahadharisha umma au watawala juu ya madhara ya Serikali kukopa fedha toka taasisi mbalimbali Duniani.

Kwamba tukiendelea kwa spidi ile basi huenda nchi ikaja kuuzwa baada ya kushindwa kulipa,baada ya kujitumbukiza kwenye mlolongo wa mikopo bila tahadhali,huku tukifurahia mikopo hiyo kwa sasa!

Ilikuwa ni Angalizo zuri na lenye Point kabisaa.

Lakini kwa sababu ya siasa za ajabu za nchi hii....visasi,vinyongo na kukomoana.

Wale waliokuwa na chuki binafsi na Ndugai walifanya yao na hatimae Ndugai akaonekana mbaya wa Taifa.

Leo imekuwa zamu ya Tulia Akson mrithi wa kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Kuna clip imetoka inayomuonyesha akiwahamasisha vijana wa UVCCM kwamba wale sahani moja ( sijui kwa namna ipi au mbinu zipi).

Kwamba wale wote wanaomsema vibaya Mama Samia Rais wa JMT.

Haijulikani ni wanaomsema vibaya Rais wa nchi ni wapi? na maneno yapi?
ndio mabaya na yapi ndio mazuri kwake.

Pia haijulikani yeye Tulia anawataka wale nao sahani moja kwa mtindo gani?

My Take:

Kama Ndugai aliwajibishwa na Rais kwa kulazimishwa kujiuzuLu Kwa kutoa tahadhari kwa nchi dhidi ya mikopo isiyo na muelekeo sahihi.

Je, Tulia ambae anahamasisha uvunjifu wa Amani baina ya watanzania.
Kwamba yeyote anayemkosoa Rais wa nchi,awe CCM au Upinzani.jambo linaloweza kusababisha uvunjifu wa Amani na umwagikaji damu.

Yeye atafanywa nini?
Ni ipi kauli hatarishi kati ya "Tutauzwa wote" na hii ya "kuleni nao sahani moja"

Huu ni mtihani mwingine kwa CCM pamoja na mwenyekiti wao,wajitafakari na kuchukua hatua stahiki kama ilivyokuwa kwa Ndugai.

Ili jamii iweze kuwaamini,vinginevyo tutaamini kulikuwa na mpango rasmi wa kundi ndani ya CCM lilipanga kumfurusha Ndugai na kumuweka Tulia kwa maslahi yao binafsi na kwa kuwaza uraisi wa 2025 zaidi.
 
Wanabodi habari!

Naenda kwenye mada yangu moja kwa moja!

NDUGAI yeye alitahadharisha umma au watawala juu ya madhara ya Serikali kukopa fedha toka taasisi mbalimbali Duniani.

Kwamba tukiendelea kwa spidi ile basi huenda nchi ikaja kuuzwa baada ya kushindwa kulipa,baada ya kujitumbukiza kwenye mlolongo wa mikopo bila tahadhali,huku tukifurahia mikopo hiyo kwa sasa!

Ilikuwa ni Angalizo zuri na lenye Point kabisaa.

Lakini kwa sababu ya siasa za ajabu za nchi hii....visasi,vinyongo na kukomoana.

Wale waliokuwa na chuki binafsi na Ndugai walifanya yao na hatimae Ndugai akaonekana mbaya wa Taifa.

Leo imekuwa zamu ya Tulia Akson mrithi wa kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Kuna clip imetoka inayomuonyesha akiwahamasisha vijana wa UVCCM kwamba wale sahani moja ( sijui kwa namna ipi au mbinu zipi).

Kwamba wale wote wanaomsema vibaya Mama Samia Rais wa JMT.

Haijulikani ni wanaomsema vibaya Rais wa nchi ni wapi? na maneno yapi?
ndio mabaya na yapi ndio mazuri kwake.

Pia haijulikani yeye Tulia anawataka wale nao sahani moja kwa mtindo gani?

My Take:

Kama Ndugai aliwajibishwa na Rais kwa kulazimishwa kujiuzuLu Kwa kutoa tahadhari kwa nchi dhidi ya mikopo isiyo na muelekeo sahihi.

Je, Tulia ambae anahamasisha uvunjifu wa Amani baina ya watanzania.
Kwamba yeyote anayemkosoa Rais wa nchi,awe CCM au Upinzani.jambo linaloweza kusababisha uvunjifu wa Amani na umwagikaji damu.

Yeye atafanywa nini?
Ni ipi kauli hatarishi kati ya "Tutauzwa wote" na hii ya "kuleni nao sahani moja"

Huu ni mtihani mwingine kwa CCM pamoja na mwenyekiti wao,wajitafakari na kuchukua hatua stahiki kama ilivyokuwa kwa Ndugai.

Ili jamii iweze kuwaamini,vinginevyo tutaamini kulikuwa na mpango rasmi wa kundi ndani ya CCM lilipanga kumfurusha Ndugai na kumuweka Tulia kwa maslahi yao binafsi na kwa kuwaza uraisi wa 2025 zaidi.
zote ni hatari ila tofauti inakuja hyo kauli umetolewa mda gani nchi ipo katika situation gn pili wa wanao ipokea hiyo kauli ni wakina nani
 
Wanabodi habari!

Naenda kwenye mada yangu moja kwa moja!

NDUGAI yeye alitahadharisha umma au watawala juu ya madhara ya Serikali kukopa fedha toka taasisi mbalimbali Duniani.

Kwamba tukiendelea kwa spidi ile basi huenda nchi ikaja kuuzwa baada ya kushindwa kulipa,baada ya kujitumbukiza kwenye mlolongo wa mikopo bila tahadhali,huku tukifurahia mikopo hiyo kwa sasa!

Ilikuwa ni Angalizo zuri na lenye Point kabisaa.

Lakini kwa sababu ya siasa za ajabu za nchi hii....visasi,vinyongo na kukomoana.

Wale waliokuwa na chuki binafsi na Ndugai walifanya yao na hatimae Ndugai akaonekana mbaya wa Taifa.

Leo imekuwa zamu ya Tulia Akson mrithi wa kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Kuna clip imetoka inayomuonyesha akiwahamasisha vijana wa UVCCM kwamba wale sahani moja ( sijui kwa namna ipi au mbinu zipi).

Kwamba wale wote wanaomsema vibaya Mama Samia Rais wa JMT.

Haijulikani ni wanaomsema vibaya Rais wa nchi ni wapi? na maneno yapi?
ndio mabaya na yapi ndio mazuri kwake.

Pia haijulikani yeye Tulia anawataka wale nao sahani moja kwa mtindo gani?

My Take:

Kama Ndugai aliwajibishwa na Rais kwa kulazimishwa kujiuzuLu Kwa kutoa tahadhari kwa nchi dhidi ya mikopo isiyo na muelekeo sahihi.

Je, Tulia ambae anahamasisha uvunjifu wa Amani baina ya watanzania.
Kwamba yeyote anayemkosoa Rais wa nchi,awe CCM au Upinzani.jambo linaloweza kusababisha uvunjifu wa Amani na umwagikaji damu.

Yeye atafanywa nini?
Ni ipi kauli hatarishi kati ya "Tutauzwa wote" na hii ya "kuleni nao sahani moja"

Huu ni mtihani mwingine kwa CCM pamoja na mwenyekiti wao,wajitafakari na kuchukua hatua stahiki kama ilivyokuwa kwa Ndugai.

Ili jamii iweze kuwaamini,vinginevyo tutaamini kulikuwa na mpango rasmi wa kundi ndani ya CCM lilipanga kumfurusha Ndugai na kumuweka Tulia kwa maslahi yao binafsi na kwa kuwaza uraisi wa 2025 zaidi.
Sauti ya mwanamke haina kishindo
 
Wanabodi habari!

Naenda kwenye mada yangu moja kwa moja!

NDUGAI yeye alitahadharisha umma au watawala juu ya madhara ya Serikali kukopa fedha toka taasisi mbalimbali Duniani.

Kwamba tukiendelea kwa spidi ile basi huenda nchi ikaja kuuzwa baada ya kushindwa kulipa,baada ya kujitumbukiza kwenye mlolongo wa mikopo bila tahadhali,huku tukifurahia mikopo hiyo kwa sasa!

Ilikuwa ni Angalizo zuri na lenye Point kabisaa.

Lakini kwa sababu ya siasa za ajabu za nchi hii....visasi,vinyongo na kukomoana.

Wale waliokuwa na chuki binafsi na Ndugai walifanya yao na hatimae Ndugai akaonekana mbaya wa Taifa.

Leo imekuwa zamu ya Tulia Akson mrithi wa kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Kuna clip imetoka inayomuonyesha akiwahamasisha vijana wa UVCCM kwamba wale sahani moja ( sijui kwa namna ipi au mbinu zipi).

Kwamba wale wote wanaomsema vibaya Mama Samia Rais wa JMT.

Haijulikani ni wanaomsema vibaya Rais wa nchi ni wapi? na maneno yapi?
ndio mabaya na yapi ndio mazuri kwake.

Pia haijulikani yeye Tulia anawataka wale nao sahani moja kwa mtindo gani?

My Take:

Kama Ndugai aliwajibishwa na Rais kwa kulazimishwa kujiuzuLu Kwa kutoa tahadhari kwa nchi dhidi ya mikopo isiyo na muelekeo sahihi.

Je, Tulia ambae anahamasisha uvunjifu wa Amani baina ya watanzania.
Kwamba yeyote anayemkosoa Rais wa nchi,awe CCM au Upinzani.jambo linaloweza kusababisha uvunjifu wa Amani na umwagikaji damu.

Yeye atafanywa nini?
Ni ipi kauli hatarishi kati ya "Tutauzwa wote" na hii ya "kuleni nao sahani moja"

Huu ni mtihani mwingine kwa CCM pamoja na mwenyekiti wao,wajitafakari na kuchukua hatua stahiki kama ilivyokuwa kwa Ndugai.

Ili jamii iweze kuwaamini,vinginevyo tutaamini kulikuwa na mpango rasmi wa kundi ndani ya CCM lilipanga kumfurusha Ndugai na kumuweka Tulia kwa maslahi yao binafsi na kwa kuwaza uraisi wa 2025 zaidi.
Kwa viongozi ndumilakuwili wa nchi hii hakuna lolote atafaywa Tulituli. Na kwa Vila alianza na sifa na mapambio kwa Mama ndo kabisa!! Subiri Chawa wa mama waje watafsiri kauli ya Tulituli uone kama ina madhara au ndo imeimarisha demokrasia. Jana nimesikia aliposema "Nyooka naye" alimaanisha bishana naye kwa hoja.
 
Inaonyesha huyu mama hataki kufanya kazi na boss wake. Hata watoto wakigombana mmoja akatoa vitisho kwa mwenzie hata Kama ni ndugu lazima wewe na kinyongo. Lazima amani itoweke, wazazi wakijua lazima wafanyakazi ya ziada kumchunguza huyo mtoto wa kiibilisi.

Tulia ajitadhimini Kama ana watoto na anapenda waishi maisha ya Aman awaombe wale vijana radhi. Sasa huko nyumbani anavyoishi na jamii, watoto, ndugu na familia, mama yangu tukwelewe vipi.

Mama ndiye amani nyumbani katika familia nyingi duniani. Wewe unawatuma wakanyooshe, wenzao hivi wakianzia kule kwako utajisikia je?

Omba mungu akufutie hiyo kauli.
 
Kwa viongozi ndumilakuwili wa nchi hii hakuna lolote atafaywa Tulituli. Na kwa Vila alianza na sifa na mapambio kwa Mama ndo kabisa!! Subiri Chawa wa mama waje watafsiri kauli ya Tulituli uone kama ina madhara au ndo imeimarisha demokrasia. Jana nimesikia aliposema "Nyooka naye" alimaanisha bishana naye kwa hoja.
Uko sahihi,sababu naye ni sehemu ya inner cicle!
 
Usiwaamni CCM KAMWE Ndugu Yangu, hawa Jamaa ni mashetani tupu
 
Wanabodi habari!

Naenda kwenye mada yangu moja kwa moja!

NDUGAI yeye alitahadharisha umma au watawala juu ya madhara ya Serikali kukopa fedha toka taasisi mbalimbali Duniani.

Kwamba tukiendelea kwa spidi ile basi huenda nchi ikaja kuuzwa baada ya kushindwa kulipa,baada ya kujitumbukiza kwenye mlolongo wa mikopo bila tahadhali,huku tukifurahia mikopo hiyo kwa sasa!

Ilikuwa ni Angalizo zuri na lenye Point kabisaa.

Lakini kwa sababu ya siasa za ajabu za nchi hii....visasi,vinyongo na kukomoana.

Wale waliokuwa na chuki binafsi na Ndugai walifanya yao na hatimae Ndugai akaonekana mbaya wa Taifa.

Leo imekuwa zamu ya Tulia Akson mrithi wa kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Kuna clip imetoka inayomuonyesha akiwahamasisha vijana wa UVCCM kwamba wale sahani moja ( sijui kwa namna ipi au mbinu zipi).

Kwamba wale wote wanaomsema vibaya Mama Samia Rais wa JMT.

Haijulikani ni wanaomsema vibaya Rais wa nchi ni wapi? na maneno yapi?
ndio mabaya na yapi ndio mazuri kwake.

Pia haijulikani yeye Tulia anawataka wale nao sahani moja kwa mtindo gani?

My Take:

Kama Ndugai aliwajibishwa na Rais kwa kulazimishwa kujiuzuLu Kwa kutoa tahadhari kwa nchi dhidi ya mikopo isiyo na muelekeo sahihi.

Je, Tulia ambae anahamasisha uvunjifu wa Amani baina ya watanzania.
Kwamba yeyote anayemkosoa Rais wa nchi,awe CCM au Upinzani.jambo linaloweza kusababisha uvunjifu wa Amani na umwagikaji damu.

Yeye atafanywa nini?
Ni ipi kauli hatarishi kati ya "Tutauzwa wote" na hii ya "kuleni nao sahani moja"

Huu ni mtihani mwingine kwa CCM pamoja na mwenyekiti wao,wajitafakari na kuchukua hatua stahiki kama ilivyokuwa kwa Ndugai.

Ili jamii iweze kuwaamini,vinginevyo tutaamini kulikuwa na mpango rasmi wa kundi ndani ya CCM lilipanga kumfurusha Ndugai na kumuweka Tulia kwa maslahi yao binafsi na kwa kuwaza uraisi wa 2025 zaidi.
Afadhali kauli ya mstaafu spika ye alitahdgarisha kwa manfaa ya nchi.kuliko spika huyu.Kaleta uchama na chuki.
 
Upi uhatari wa kauli ya Ndugai?

Je!
Kwako kutoa tahadhali ya mikopo ni hatari?
sikia mkuu hii nchi ina wananchi takriban Million 50... na ambao hawajaelmika n weng zaidi unapotoa kauli km ile mbele ya watu tena bila maelez basi tegemea mrejesho wa maon tofaut tofauti

kauli km ile ya job unadh ingekuwa inaleta aman kipind ambacho nchi ipo kweny tahamaki km ya uchaguz.

ukweli ambao wengi hawapend kuhsukia kuwa watanzania tuna kitu chuki ndan yetu kila kitu tunapinga eti kisa ss ni wapinzani maisha hayaend hvy wakuu
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom