Ni kama bahati tu lakini wameizima

Ni kama bahati tu lakini wameizima

bbwaoy

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
466
Reaction score
468
Nina miezi 3 toka nianze kazi na hii kampuni X ya wazungu wajerumani.

Niko kwenye probabtion ya miezi 6 nalipwa mshahara wa kati tu waku niwezesha kubadili mboga. Nili pata email kua nahitajika makao makuu kwajili ya kikao nilipo fika nilikuta mzungu 1 , meneja (mwafrika ) na supervisor wangu.

Lengo la kikao ni kwamba nilikua nime chaguliwa kuchikilia nafasi muhimu sana makao makuu, nafasi ambayo inge nitoa huko maporini nilipo pangiwa kazi na kurudi mjini.. lakin siku ya kikao hawa waafrika wali pinga sana hilo wazo la mzungu alie ni chagua yeye mwenyewe kua Mimi ndio nafaa hio nafasi na sio mwingine..

Ila cha ajabu hawa jamaa wawili wali pinga kweli kweli... na Bahati yangu ikafia hapo!!! Naumia sana mpaka leo...
 
Pole sana, unanikumbusha machungu mengi sana!. Watu tuna magugu kwenye mioyo yetu, inauma sana. Riziki ya mtu haizuiliwi bali inaweza ikacheleweshwa tu, jipe moyo na tujipe moyo tutashnda
 
Pole sana kwa yaliyokukuta, ila naona kuna tatizo kwenye uongozi wa hiyo kampuni X, walitakiwa waendeshe mchakato wa kumpata huyo mtu na wakishafikia maamuzi wangekujulisha maamuzi yao ama kama unatakiwa kufanyiwa usaili kujiridhisha kama utaweza kumudu hiyo nafasi. Kwa mujibu wa maelezo yako, kama walikuita kwa kukupa taarifa na hiyo mizengwe ikatokea, kuna tatizo mahali kwenye hiyo kampuni. Ila usikate tamaa.....
 
Ukweli Hiyo Kampuni Inahitaji
Mabadiliko Ya Haraka Sasa Kura Yako Kwa Upcoming President Lowassa
 
Mbaya zaidi mzungu alisema wazi bila kuficha "you are the only guy who can help us in this position & it's because you have the experience in what it takes for someone to run it "... na kwa sababu mimi na ngeli ni damu damu niki amua kuongea na ongea kweli, sasa walipo ona huyu jamaa ni smart ana weza chukua position kubwa mbeleni waka weka CANCEL nika rudi zangu pori....
 
Hii ndo bongo bhana
Tabia za ukolon zimewaathiri watu weusi
Yaani weusi kwa weusi hawapendan hapo angepewa mzungu wasngepinga
 
We bbwaoy ndo tatizo. We kuongea kizungu unadhani ndo usmart? Ndo maana walikunyoosha. Eti unaongea ngeli sana!!
 
Last edited by a moderator:
We bbwaoy ndo tatizo. We kuongea kizungu unadhani ndo usmart? Ndo maana walikunyoosha. Eti unaongea ngeli sana!!

No sio kwamba nili ongea ngeli, tena siku ongea chochote siku io .. I just cooled down na kusubiria bahat yangu itiki
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu pole sana ila kumbuka ridhiki ya mtu aizuiliwi ipo siku tu utafanikiwa.
 
mbaya zaidi mzungu alisema wazi bila kuficha "you are the only guy who can help us in this position & it's because you have the experience in what it takes for someone to run it "... Na kwa sababu mimi na ngeli ni damu damu niki amua kuongea na ongea kweli, sasa walipo ona huyu jamaa ni smart ana weza chukua position kubwa mbeleni waka weka cancel nika rudi zangu pori....

we' jamaa ni lile kabila letu lile au?!
 
Back
Top Bottom