Ni kama bahati tu lakini wameizima

Ni kama bahati tu lakini wameizima

Je, ulichaguliwa hiyo nafasi kwa kufata merit principlez za hiyo kampuni X...?
Au ilikuwa ni kama zali la mentali tu mwana ukaokota embe dodo kwenye
mchongoma...?

Nina miezi 3 toka nianze kazi na hii kampuni X ya wazungu wajerumani.

Niko kwenye probabtion ya miezi 6 nalipwa mshahara wa kati tu waku niwezesha kubadili mboga. Nili pata email kua nahitajika makao makuu kwajili ya kikao nilipo fika nilikuta mzungu 1 , meneja (mwafrika ) na supervisor wangu.

Lengo la kikao ni kwamba nilikua nime chaguliwa kuchikilia nafasi muhimu sana makao makuu, nafasi ambayo inge nitoa huko maporini nilipo pangiwa kazi na kurudi mjini.. lakin siku ya kikao hawa waafrika wali pinga sana hilo wazo la mzungu alie ni chagua yeye mwenyewe kua Mimi ndio nafaa hio nafasi na sio mwingine..

Ila cha ajabu hawa jamaa wawili wali pinga kweli kweli... na Bahati yangu ikafia hapo!!! Naumia sana mpaka leo...
 
Je, ulichaguliwa hiyo nafasi kwa kufata merit principlez za hiyo kampuni X...?
Au ilikuwa ni kama zali la mentali tu mwana ukaokota embe dodo kwenye
mchongoma...?

Naamini wanapo kaa wakubwa wa hii kampuni huwa hawa chagui mtu eti kama zali... kama kampuni ina wanafanyakazi takriban 30 which means pengine waliona kuna sifa wanzo zihitaji pengine mm ninazo.. na kiukweli position waliyo taka kuni weka nina ozoefu nayo.
 
pole ndugu yangu mambo kama hayo kwa hapa bongo mbona kawaida tu we unazani ni kwanini wabongo hatuendelei
 
No sio kwamba nili ongea ngeli, tena siku ongea chochote siku io .. I just cooled down na kusubiria bahat yangu itiki

"... kwa sababu mimi na ngeli ni damu damu niki amua kuongea na ongea kweli, sasa walipo ona huyu jamaa ni smart ana weza chukua position kubwa mbeleni..."

Nafikiri hayo maneno yako mi ndo sijayaelewa. Au uandishi wako umefanya ionekane ngeli na usmart vinaendana. Au labda ni hivyo mi ndo sijui. Vyovyote vile, kauli yako hiyo inaunganisha hayo mambo mawili.
 
Nina miezi 3 toka nianze kazi na hii kampuni X ya wazungu wajerumani.

Niko kwenye probabtion ya miezi 6 nalipwa mshahara wa kati tu waku niwezesha kubadili mboga. Nili pata email kua nahitajika makao makuu kwajili ya kikao nilipo fika nilikuta mzungu 1 , meneja (mwafrika ) na supervisor wangu.

Lengo la kikao ni kwamba nilikua nime chaguliwa kuchikilia nafasi muhimu sana makao makuu, nafasi ambayo inge nitoa huko maporini nilipo pangiwa kazi na kurudi mjini.. lakin siku ya kikao hawa waafrika wali pinga sana hilo wazo la mzungu alie ni chagua yeye mwenyewe kua Mimi ndio nafaa hio nafasi na sio mwingine..

Ila cha ajabu hawa jamaa wawili wali pinga kweli kweli... na Bahati yangu ikafia hapo!!! Naumia sana mpaka leo...

kawale ndago hao visokorokwinyo
 
Mbaya zaidi mzungu alisema wazi bila kuficha "you are the only guy who can help us in this position & it's because you have the experience in what it takes for someone to run it "... na kwa sababu mimi na ngeli ni damu damu niki amua kuongea na ongea kweli, sasa walipo ona huyu jamaa ni smart ana weza chukua position kubwa mbeleni waka weka CANCEL nika rudi zangu pori....

Ngeli sio cv, kama una expirience kwa nn ukae porini, weka cv yako mezani onyesha unaweza hakuna wa kusema hufai kinachosema ni cv, cv ndo inakutetea hata ukikaa kimya. Kama unaona hawakukufanyia haki, andika barua ya kutoridhika, mpe mkuu wako, onyesha msimamo wako wa hata kuresign kama utaona haki haikutendeka, usifanye kazi kama mtumwa
 
Ngeli sio cv, kama una expirience kwa nn ukae porini, weka cv yako mezani onyesha unaweza hakuna wa kusema hufai kinachosema ni cv, cv ndo inakutetea hata ukikaa kimya. Kama unaona hawakukufanyia haki, andika barua ya kutoridhika, mpe mkuu wako, onyesha msimamo wako wa hata kuresign kama utaona haki haikutendeka, usifanye kazi kama mtumwa

Safi bro yani hapa kwa kweli umenena kitu... binafsi sipendi kazi yaku ni pelekesha pelekesha... huwa nina maamuzi magumu sana.. nikiona matakwa yangu mwajiri haya sikilizwi huwa na resign tu... hii ina nipa picha kua ni wakati sasa wa mm kuacha kumtumikia mtu na mimi nianzishe vitu vyangu mwenyewe
 
Unanikumbusha aliyekuwa Meneja wangu, niliposoma Masters tu, akanikomalia,nikajituma na kupeleka cv makao makuu nikaitwa kwa inteview nikaitwa kuhamia makao,akapinga eti nina kesi, akafungua kesi ya kidini nikatimuliwa,mpaka sasa kesi CMA hahahaha nchi yanguuuu kweli nakupenda
 
Nina miezi 3 toka nianze kazi na hii kampuni X ya wazungu wajerumani.

Niko kwenye probabtion ya miezi 6 nalipwa mshahara wa kati tu waku niwezesha kubadili mboga. Nili pata email kua nahitajika makao makuu kwajili ya kikao nilipo fika nilikuta mzungu 1 , meneja (mwafrika ) na supervisor wangu.

Lengo la kikao ni kwamba nilikua nime chaguliwa kuchikilia nafasi muhimu sana makao makuu, nafasi ambayo inge nitoa huko maporini nilipo pangiwa kazi na kurudi mjini.. lakin siku ya kikao hawa waafrika wali pinga sana hilo wazo la mzungu alie ni chagua yeye mwenyewe kua Mimi ndio nafaa hio nafasi na sio mwingine..

Ila cha ajabu hawa jamaa wawili wali pinga kweli kweli... na Bahati yangu ikafia hapo!!! Naumia sana mpaka leo...

Eti tunataka mabadiliko wakati cc wenyewe tu hatujabadili roho zetu myeusi.
 
Nina miezi 3 toka nianze kazi na hii kampuni X ya wazungu wajerumani.

Niko kwenye probabtion ya miezi 6 nalipwa mshahara wa kati tu waku niwezesha kubadili mboga. Nili pata email kua nahitajika makao makuu kwajili ya kikao nilipo fika nilikuta mzungu 1 , meneja (mwafrika ) na supervisor wangu.

Lengo la kikao ni kwamba nilikua nime chaguliwa kuchikilia nafasi muhimu sana makao makuu, nafasi ambayo inge nitoa huko maporini nilipo pangiwa kazi na kurudi mjini.. lakin siku ya kikao hawa waafrika wali pinga sana hilo wazo la mzungu alie ni chagua yeye mwenyewe kua Mimi ndio nafaa hio nafasi na sio mwingine..

Ila cha ajabu hawa jamaa wawili wali pinga kweli kweli... na Bahati yangu ikafia hapo!!! Naumia sana mpaka leo...

Mkuu napenda sana kazi za porini ,kama mwanafamilia mwenzako wa Jf kama kuna fursa huko kampuni X naomba tugawane hio cake
 
Back
Top Bottom