CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 21,109
- 41,390
Halafu anayesema huo utopolo ndiye Rais!!!on sasa, anayedai ustawi wa Taifa anaitwa gaidi. just imagine!!!!!
Halafu anayesema huo utopolo ndiye Rais!!!on sasa, anayedai ustawi wa Taifa anaitwa gaidi. just imagine!!!!!
Ai ndo maana wanatuteka na kwenda kutuua? Ila hilo walifanyalo historia inqonyesha ni hatua ya mwisho kabla ya angukoKwa sasa inavoonekana CCM imeishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kikubalike kwa watanzania.
Kitendo cha CCM kuishiwa mbinu ya kukifanya chama hicho kuaminiwa na watanzania wakati kikiwa kinaendesha Serikali na kusimamia vyombo vya dola, ni jambo la hatari sana kwa mustakbali wa nchi yetu.
CCM kuishiwa mbinu za kuongoza nchi yetu, ni sawa na chizi mwenye rungu kuwa karibu na kabati la kioo lililojaa vyombo vya udongo.
Hiyo tisa, kumi yule anayejiita nyumbuHakika ukishaona mtu mwenye akili zake anajiita Chawa wa mama basi juwa kuwa huyo ni dustbin
Nyumba ni Jina halali na ukitaka kujua hilo nenda mkoani Ruvuma .Hiyo tisa, kumi yule anayejiita nyumbu
Hatuzungumzii Kijiji Cha ruvuma, tunazungimzia maana inayokubalika Tanzania nzima. Hata kwenu umawiani neno 'mwandu' lina maana ya kibumbu/papuchi/sotojo/vuzi/papa/pochi manyoya n.k. lakini maneno mengine hilo neno ni majina ya watu, tena pendwa kabisa.Nyumba ni Jina halali na ukitaka kujua hilo nenda mkoani Ruvuma .
Ila Chawa ni laana