Sisi.uku kwetu kama Redio haipigi mziki mapaka watapiga kelele mpaka asubuhi
Hii siyo sababu haina maana kabisa, wangapi wanaibiwa wakiwa wamezima, na kuibiana ovyo ovyo inategemeana unaishi wapi.Kiusalama sio tabia nzuri kuna jamaa wezi walimvunjia wakaiba Tv,Radio navitu kibao .anaamka seble nyeupe majiran wakamuabia ww labda hukuwepo ndani yani iweje wavunje nawachukue vitu vyote hivyo naww hata usisikie.ndoakasema alilala nakaredio kanalia .ko jamaa wakasepa na sabufa yy kabaki nakaredio kadogo hivi vyakuchaji