Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 11,193
- 18,946
Basi tuna tatizo kubwa sana. Labda hata badala ya kudai Katiba yote ibadilishwe, linalotakiwa kubadilishwa ni hili jambo moja - kuhakikisha raisi anawajibishwa ikiwa atevunja Katiba, na kuwekewa pingamizi la kugombea uraisi kwa mara nyingine ikiwa kuna uthibitisho kuwa alivunja katiba katika utendaji wake akiwa raisiKwa katiba iliyopo hatumfanyi kitu,
Ni wale jamaa wasioonekana ndio wanaweza tuleta kati wakitaka!!!
Tuandamane apigwe chiniNimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au kwa kutoelewa, anavunja Katiba ya Tanzania (yaani kufanya uamuzi au kuchukua hatua inayoenda kinyume na Katiba ya Tanzania)
Nauliza hivi kwa sababu ninaelewa kwamba huwezi kumshitaki raisi wa Tanzania mahakamani, iwe yupo madarakani au amemaliza muda wake.
Ningeomba wale wenye ufahamu mzuri wa sheria au Katiba ya Tanzania wasaidie kujibu maswali haya hapa chini;
- Je, Tanzania tuna utaratibu wowote wa kisheria wa kumwajibisha raisi anaetenda kinyume na Katiba ya nchi kwa makusudi au kwa kutojua akiwa bado madarakani?
- Je chama chake kinawezaje kumwajibisha ikiwa raisi ndio anakuwa pia mwenyekiti wa chama chake?
- Je kama raisi anavunja katiba kimakusudi bado tunalazimika kusubiri hadi uchaguzi mkuu ili wananchi ndio waamue?
- Na je, ni halali chama cha siasa kuteua mtu kuwa mgombea wa uraisi ikiwa kuna uthibitisho kwamba akiwa madarakani kama raisi katika awamu inayoisha alikuwa akivunja katiba?
- Je unaweza kumwekea pingamizi raisi anaemaliza awamu moja kugombea tena kwa sababu kuna uthibitisho kwamba akiwa raisi alivunja Katiba na hivyo hastahili kugombea uraisi kwa awamu nyingine?
- Je kuna uhalali wa kumwondoa raisi madarakani kwa nguvu (yaani mapinduzi) badala ya kungojea uchaguzi mwingine ikiwa anathibitika kuvunja Katiba mara kwa mara na chama chake hakina namna ya kumwajibisha, au hakuna utaratibu wa kidemokrasia unaowezesha raisi aondolewe madarakani?
Maandamano kwa raisi anaevunja Katiba wala hayawezi kumzuia kunywa maji. Ataona ni upepo tu unapita.Tuandamane apigwe chini
Kwani Samia kavunja Katiba? Hebu fungukaNimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au kwa kutoelewa, anavunja Katiba ya Tanzania (yaani kufanya uamuzi au kuchukua hatua inayoenda kinyume na Katiba ya Tanzania)
Nauliza hivi kwa sababu ninaelewa kwamba huwezi kumshitaki raisi wa Tanzania mahakamani, iwe yupo madarakani au amemaliza muda wake.
Ningeomba wale wenye ufahamu mzuri wa sheria au Katiba ya Tanzania wasaidie kujibu maswali haya hapa chini;
- Je, Tanzania tuna utaratibu wowote wa kisheria wa kumwajibisha raisi anaetenda kinyume na Katiba ya nchi kwa makusudi au kwa kutojua akiwa bado madarakani?
- Je chama chake kinawezaje kumwajibisha ikiwa raisi ndio anakuwa pia mwenyekiti wa chama chake?
- Je kama raisi anavunja katiba kimakusudi bado tunalazimika kusubiri hadi uchaguzi mkuu ili wananchi ndio waamue?
- Na je, ni halali chama cha siasa kuteua mtu kuwa mgombea wa uraisi ikiwa kuna uthibitisho kwamba akiwa madarakani kama raisi katika awamu inayoisha alikuwa akivunja katiba?
- Je unaweza kumwekea pingamizi raisi anaemaliza awamu moja kugombea tena kwa sababu kuna uthibitisho kwamba akiwa raisi alivunja Katiba na hivyo hastahili kugombea uraisi kwa awamu nyingine?
- Je kuna uhalali wa kumwondoa raisi madarakani kwa nguvu (yaani mapinduzi) badala ya kungojea uchaguzi mwingine ikiwa anathibitika kuvunja Katiba mara kwa mara na chama chake hakina namna ya kumwajibisha, au hakuna utaratibu wa kidemokrasia unaowezesha raisi aondolewe madarakani?
Sawa ila tumwambie nani Ili atusikieBasi tuna tatizo kubwa sana. Labda hata badala ya kudai Katiba yote ibadilishwe, linalotakiwa kubadilishwa ni hili jambo moja - kuhakikisha raisi anawajibishwa ikiwa atevunja Katiba, na kuwekewa pingamizi la kugombea uraisi kwa mara nyingine ikiwa kuna uthibitisho kuwa alivunja katiba katika utendaji wake akiwa raisi
Wapi nimesema Samia kavunja Katiba? Funguka wewe sasa.Kwani Samia kavunja Katiba? Hebu funguka
Katiba hii tuliyonayo haijatoa ulinzi kwa Katiba.Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au kwa kutoelewa, anavunja Katiba ya Tanzania (yaani kufanya uamuzi au kuchukua hatua inayoenda kinyume na Katiba ya Tanzania)
Nauliza hivi kwa sababu ninaelewa kwamba huwezi kumshitaki raisi wa Tanzania mahakamani, iwe yupo madarakani au amemaliza muda wake.
Ningeomba wale wenye ufahamu mzuri wa sheria au Katiba ya Tanzania wasaidie kujibu maswali haya hapa chini;
- Je, Tanzania tuna utaratibu wowote wa kisheria wa kumwajibisha raisi anaetenda kinyume na Katiba ya nchi kwa makusudi au kwa kutojua akiwa bado madarakani?
- Je chama chake kinawezaje kumwajibisha ikiwa raisi ndio anakuwa pia mwenyekiti wa chama chake?
- Je kama raisi anavunja katiba kimakusudi bado tunalazimika kusubiri hadi uchaguzi mkuu ili wananchi ndio waamue?
- Na je, ni halali chama cha siasa kuteua mtu kuwa mgombea wa uraisi ikiwa kuna uthibitisho kwamba akiwa madarakani kama raisi katika awamu inayoisha alikuwa akivunja katiba?
- Je unaweza kumwekea pingamizi raisi anaemaliza awamu moja kugombea tena kwa sababu kuna uthibitisho kwamba akiwa raisi alivunja Katiba na hivyo hastahili kugombea uraisi kwa awamu nyingine?
- Je kuna uhalali wa kumwondoa raisi madarakani kwa nguvu (yaani mapinduzi) badala ya kungojea uchaguzi mwingine ikiwa anathibitika kuvunja Katiba mara kwa mara na chama chake hakina namna ya kumwajibisha, au hakuna utaratibu wa kidemokrasia unaowezesha raisi aondolewe madarakani?
Katiba ilitayarishwa katika assumption kwamba maraisi wote wa Tanzania wangekuwa wazalendo wa aina ya Nyerere!Katiba hii tuliyonayo haijatoa ulinzi kwa Katiba.
Unakuta mambo yamewekwa kwa ujumla jumla halafu unakutana na kigingi huwezi kumshtaki rais.....
Yaani hatuna jinsi zaidi tu ya kuanika namna alivyovunja katiba hadharani kisha twende tukapange foleni ya umeme na sukari
MkuuKatiba ilitayarishwa katika assumption kwamba maraisi wote wa Tanzania wangekuwa wazalendo wa aina ya Nyerere!
Hapana mkuu. Kufanya assumption ni jambo la kawaida katika maisha, japo mara nyingine assumption tunazofanya zinatuletea matatizo. Hata unapopanda basi usafiri, unafanya assumption utafika salama, na dereva atakuwa mwangalifu japo humfahamu. Lakini mara nyingine haiwi hivyo. Ukienda hotelini huenda inzi waliingia kwenye chai wakaopolewa na ukaletewa chai. Wewe unafanya assumption hakuna kitu kama hicho.Mkuu
Katiba ilitengenezwa na vipofu wa sheria, Haki na Wajibu.
Assumption huwa inapewa nguvu kwenye nyumba za ibada. Lakini kwenye madaraka ni aibu kubwa kuweka madhania
Toa pascal njaa. Hana anachojua. Mtu yeyote ambaye na F ya hesabu ni zero brainWana JF nitafutieni Pascal Mayalla, Tundu Lissu nk waje huku watuongoze
Asante kwa majibu mazuriWapi nimesema Samia kavunja Katiba? Funguka wewe sasa.