Ni Hatari Wakuu sikiliza hii Video

Ni Hatari Wakuu sikiliza hii Video

😀😀 Daaa!! Mkuu umenichekesha sana.

So ulikuwa cooling break(Marekani wanasema hydration time)?
Hahahaha bwashee ,usioe kumwonea mwanamke huruma, oa pisi kali na hilo ni tamanio la kila mwanaume timamu 🤔 nyumbu wengi wachukua kanya boya kisa hawana pesa
 
Hahahaha bwashee ,usioe kumwonea mwanamke huruma, oa pisi kali na hilo ni tamanio la kila mwanaume timamu 🤔 nyumbu wengi wachukua kanya boya kisa hawana pesa
Aisee changamoto sana Mkuu.

Sema me naamini life is collection of an experience(positive + negative). Alafu inakuwa funzo kwa wengine.

Mfano hii story yako yakwenda cooling break 😀😀 ni nzuri itawafunza vijana.

Wakiona kwenye ndoa kunachemka wanaweza kwenda cooling break kidogo wapate maji baridi kwanza wakati wakisikilizia upepo.😀
 
Aisee changamoto sana Mkuu.

Sema me naamini life is collection of an experience(positive + negative). Alafu inakuwa funzo kwa wengine.

Mfano hii story yako yakwenda cooling break 😀😀 ni nzuri itawafunza vijana.

Wakiona kwenye ndoa kunachemka wanaweza kwenda cooling break kidogo wapate maji baridi kwanza wakati wakisikilizia upepo.😀
Una akili bwashee 🤣
 
Back
Top Bottom