Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
yeyooooo inakuwaje hapa? kama demu hajui kuungurumisha nguna anajua nini sasa?
anajua kwenda salun na kupiga mizinga daily.
yeyooooo inakuwaje hapa? kama demu hajui kuungurumisha nguna anajua nini sasa?
Kwa hiyo hapo mwanaume atamuhudumia mke wake lakini mke hatamuhudumia mume wake?
achanteeee ..njoo bas unibusu unipe lile busu la babu nipate kudream yaliyo mema katika uzee wetu!!!!!
yan mada tamu..usingz nao mtaaaaaaaamu!!!!!!!
Kwa hiyo hapo mwanaume atamuhudumia mke wake lakini mke hatamuhudumia mume wake?
atamuhudumia bt si kifedha kuchangia.
au atamuhudumia kwakutumia haus gal isipokuwa pa kitanda tu ndo atahusika yeye
Kwa hiyo nahudumiwa na house girl halafu nakuja kukushukuru wewe kwa mapishi mazuri?
natangulia kitandani uje nihudumie ennh....i wont slp til u cme
Tangulia katandike kitanda busu utalipata ukishajifunuka shuka.
Ama kweli Paka Mweusi ishi uyaone.........
On my side ningemrudisha kwa wazazi wake na bakora juu
kitanda kipo km nilivyokiacha jaman swetie na net yake yaani shuka lilelile sjabadirisha tangu septemba nanet yake naenda tu kujidumbukiza dumbwwwwwwwwi!!!!!!!!!
we njoo tu i want busu mie
Wana haki zao haoo..........
Kwa hali hiyo namshukuru aliyeleta bajaji,maana na usiku huu sijui ningeondokaje kurudi kwangu na daladala zimeisha....
hahah hahaahaaaa USINIFANYIE IVO PLLLLZZZZ...tafadhali usiondoke!!!!!!!!!1
kwenye uzembe haki hujitenga paka mweusi ooh..Wana haki zao haoo..........
kwenye uzembe haki hujitenga paka mweusi ooh..