Ni haki kumwabudu marehemu?


Nadhani uanhitaji kuelewa kuwa kuabudu na kuombea ni tofauti kabisaa.
 

Mawazo bhana! Kweli unaamini MUNGU wetu mtukufu atuumbe atupe thamani ya juu and then aje atutese duh!
 
Pumzi ya mungu + udongo = MTU. Na MTU toa pumzi inabaki UDONGO.
Sasa unapoabudu udongo maanake akili yako sio timamu. Abudu aliefinyanga huo udongo na kupulizia pumzi yake akatokea adam

Ha ha ha ha
 
Albosignathus
Soma Mhubiri 9:5 inasema Mtu akifa hajui neno lolote.Pia Mungu anasema usiabudu kitu chochote isipokuwa Mungu wa Mbinguni peke yake. Kwa hiyo ibada za wafu ni ibada za mizimu na Mungu amezikataza.
 
Last edited by a moderator:
Soma Mhubiri 9:5 inasema Mtu akifa hajui neno lolote.Pia Mungu anasema usiabudu kitu chochote isipokuwa Mungu wa Mbinguni peke yake. Kwa hiyo ibada za wafu ni ibada za mizimu na Mungu amezikataza.

Asante kwa mchango wako mkuu.
 
Kama mngalijua,imani ni kitu kigumu sana!
 
Kama mngalijua,imani ni kitu kigumu sana!

Mungu kakupa akili itumie mkuu.watu wangesema ngumu hata simu zisingekuwepo ila binadamu inatakiwa ujitahidi ujue hata kama umeshindwa kuunda japo baiskeli ila si vyema kulaghaiwa na uwongo na uzushi na watu waongo nawe ukakubali hata bila kufikiri?
 

Sasa swali lako unataka lijibiwe kwa misingi ipi?maana chukulia mfano hapa afrika tunaupinga ushoga ila wazungu kwao ni jambo la kawaida,kwahiyo na swali lako sijajua tulijibu kwa misingi ipi.
 
Sasa swali lako unataka lijibiwe kwa misingi ipi?maana chukulia mfano hapa afrika tunaupinga ushoga ila wazungu kwao ni jambo la kawaida,kwahiyo na swali lako sijajua tulijibu kwa misingi ipi.

Misingi ya akili timamu kwa mimi kwangu kama vile ni utahira kuabudu mzoga au kuombea mzoga.jibu vyovyote uwezavyo mkuu.
 
We umejuaje kuwa marehemu hajijui?

Nikimgusa hashtuki,nikimsemesha hasikii kwa maana hata hanijibu na nambeba namweka kwenye kaburi na kumfukia hapigi kelele wala kulalamika lakini mkuu wewe hapo ulipo nikija kukuchukua nikuweke kaburini utapiga mayowe hadi hadi mashuzi kwa maana unajielewa kwamba hai.
 
Soma Mhubiri 9:5 inasema Mtu akifa hajui neno lolote.Pia Mungu anasema usiabudu kitu chochote isipokuwa Mungu wa Mbinguni peke yake. Kwa hiyo ibada za wafu ni ibada za mizimu na Mungu amezikataza.

marehemu anaweza kuombewa akarudi duniani , je kuna uwezekano wa kumuombea kwenda mbinguni.
 
marehemu anaweza kuombewa akarudi duniani , je kuna uwezekano wa kumuombea kwenda mbinguni.

Marehemu hawezi kuombewa akaenda mbinguni mkuu wanaofanya hivyo ni wasanii flani wazushi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…