Ni haki kufunga mitaa ya umma kwa ibada binafsi?

Endelea kudhihirisha u.pumbavu wako kwa kuandika vitu visivyo na kichwa.
Endeleza tofauti zako za kiimani lakini tambua tu kuwa hazikufikishi popote, imani hizi tumeletewa na mzungu na mwarabu ili kutugawanya...wewe unayavalia msuli kwa kushinda mitaani kubishana....pole
0.00000001% + 98% + 0.0002% = 100%....that sums up everything pal.


wewe mwehu kama zimeletwa na mzungu au mwarabu mbona wewe una fuata anzisha yako basi wewe mbululaa
 
Lazima utafakari upya mkuu, Public public ndo kitu gani hivi vitu vimewakuta watu na aina
hiyo ya maisha ndio maana kuna mikoa ukienda unakuta nguruwe wanazunguka mitaani kama
mbuzi lakini watu wanauchuna tu ingawa inakuwa ni kero kwa wengine, kuna mikoa ukienda
mbwa kila kona na wanachafua mazingira sana lakini watu wanauchuna huu ndio utamaduni wa
kuvumiliana.

hakuna utamaduni kama huo bwana huu utakuwa ni uchanga wa kifikra mbona developed countries hakuna hayo na ndio walio leta hzo dini
 
hivi wewe ni pimbi? share za facebook zimewekwa soko gani la hisa duniani? nahisi najibizana na mtu ambaye ni too low kichwani


Facebook shares.JPG


Usiwe kama mbwa jike uliyevuta bhangi.., hee..!
 
Wakati Ulaya makanisa yanakosa waumini na kuuzwa, misikiti imekuwa hatoshi waumini wanavyoongezeka, sasa Waislam wanayanunuwa hayo makanisa na kuifanya misikiti:


FRANCIS DA DON

mosq.jpg

Church converted into a Mosque. Photo: Mike Berrell. Source: The Churches of Britain and Ireland - Oldham

hakuna utamaduni kama huo bwana huu utakuwa ni uchanga wa kifikra mbona developed countries hakuna hayo na ndio walio leta hzo dini

Hapo juu kabisa hiyo ni Ulaya ! Jairos
 
Last edited by a moderator:
Huwa wanalipa kodi peke yao, hivi azania front nao waseme wafunge njia kila siku ya ibada tutaishi....?
 
Wakati Ulaya makanisa yanakosa waumini na kuuzwa, misikiti imekuwa hatoshi waumini wanavyoongezeka, sasa Waislam wanayanunuwa hayo makanisa na kuifanya misikiti:


FRANCIS DA DON

mosq.jpg

Church converted into a Mosque. Photo: Mike Berrell. Source: The Churches of Britain and Ireland - Oldham

Vp wakristo wanaotumia majengo ya umma (shule-hospitali n.k) kufanyia ibada.

......Hilo swali FRANCIS DA DON hajajiandaa !.......labda umletee mwakani ndio atalijibu. Kwa sasa anajuta kuuanzisha huu uzi ! moondampwani :becky:
 
Last edited by a moderator:
Hivi unaelewa nilichoandika au umekurupushwa na mkeo katika ndoto nyevu??. Ni wapi umeona nikiwasema waislam na kusimama upande wa wakristo? Hivi huwa mnatumia hata 5% ya uwezo wa akili zenu?
Tatizo la "noise pollution" linasababishwa na makundi mengi zikiwemo sect mbalimbali za dini na makundi mengine ya kijamii. Kufunga mitaa kisa kusali, mihadhara ya kidini na vikundi vingine visivyo rasmi ni tatizo kubwa. Naona hapa kila anayejiota muislam analowa jasho while sio waislam pekee wanaosababoisha haya. Exposure nayo ni tatizo naona...pole!!
wapi nimetaja waislam au wakristo
 
We kama unaona kero rudi kwenu bara

Kristi Bara au pwani sio hoja, hapa hoja ni kwamba ustaarabu ni kitu cheap sana na affordable kwa kila mtu. ibada ya dini yangu isiwazuie wengine kufanya mambo yao ya msingi. Hii pwani imejengwa na watu wa Bara wa huku mlikutwa mnacheza vigodolo ndo maana hata kufikiria kuko chini sana
 
Imani yako si sahihi kuifanya kua kero kwa asie iamini.
imani zenyewe zimetokea mbali,zikaletwa kwa malengo kadhaa.
 
K/koo ndio wenye tabia hiyo yakufunga Barabara kwa ajili ya kufturu washenzi Sana hao slam wangefturu misikitini ndani sio kutupa kero sisi mbona sisi wakristo tukifunga tunafturu ndani
 
Back
Top Bottom