Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,694
- 7,912
Ukiona Barabara imefungwa ujue imeombewa kibali.Aisee wewe hujafika tanga.. huku inafungwa barabara kubwa kabisa kama sam nujoma hivi... Tanga rahaaaa
Ukiona Barabara imefungwa ujue imeombewa kibali.Aisee wewe hujafika tanga.. huku inafungwa barabara kubwa kabisa kama sam nujoma hivi... Tanga rahaaaa
Aisee wewe hujafika tanga.. huku inafungwa barabara kubwa kabisa kama sam nujoma hivi... Tanga rahaaaa
Ukiona Barabara imefungwa ujuwe imeombewa kibali.
Huku ilala leo nusu Nipige watu yaani wamefunga kona zote nne nilikuwa na gari kubwa nimepasua katikati.
Hivi kuna logic gani watu kuwa na haki ya kufunga barabara za umma zilizopigwa lami kwa kodi za umma ili kufanya shughuli binafsi za ibada? Kwani viwanja si vinauzwa...
Kwanini mtumie barabara muhimu na kuzifunga? Kama nyumba yenu ya ibada haitoshi, basi changishaneni pesa mumnunue jirani yenu ili mtanue eneo lenu...
Mbona wengine huenda kuanzisha nyumba za ibada kwenye mapori, na eventually miji hudevelop kuwafuata kutokana na huduma za kijamii zinazotolewa sambamba na huduma kiimani? Hebu tubadilike bwana.









KimbleyInakera sana! Watu wana uelewa mdogo sana!! Ni ujinga uliopitiliza kuzuia watu wengine washindwe kutumia barabara kwa manufaa yako binafsi!
Nachukia sana watu wabinafsi wasiojali wenzao.
dansmithHuku ilala leo nusu Nipige watu yaani wamefunga kona zote nne nilikuwa na gari kubwa nimepasua katikati.
Kiukweli ufungaji holela wa barabara unaudhi
Regardless waliofunga ni dini gani au shughuli gani.... angalau kitu kama msiba ni cha ghafla....
Lakini shughuli za kidini hapana inaudhi....... kusali/kuswali kwako kusiwe kero kwa wengine...na wala shughuli zako za kidini zisiwe kero kwa wengine
Hapa pia kuna wale wanaopiga mahubiri usiku kucha..... mispika mikubwa sauti za juu...walaah... sasa usiombee sauti za mahubiri + kufunga barabara

Kimbley
'Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye, na humkunjia kwa kipimo. Na (Makafiri) wamefurahia maisha ya Dunia. Uhai wa Dunia kulingana na Akhera si kitu ila ni starehe ndogo tu.
Qur'an: 13:26.
Duh, tunakoenda sasa siko kwanini tusilalamike barabara inapofungwa kwa
Msafara wa kiongozi fulani Tena unakuta hata saa moja kabla watu hawaruhusiwi
kwanini hukulalamika siku aliyokuja Obama jinsi tulivyonyanyaswa ndani ya nchi yetu
hizo chuki hazina maana.
Hii aya unayoitumia haiusiani na mada husika!swala la kufunga barabara bila udhuru wa maana ni ubinafsi!!
Nataka uniambie ni Aya gani ya Quran imeruhusu watu wafunge barabara?
..........uhai wa Dunia kulingana na Akhera si kitu ila ni starehe ndogo tu ! (Qur'an: 13:26)
Uhai wa Dunia (pumzi) unakudanganya, unajiona wa maana !......watu ambao wametenga muda wao kuomba na kushukuru unaona wanakughasi na hawana maana.
View attachment 252205
Hapo ni Italia, barabarani na mbele ya Kanisa !
Nkwesa Makambo
Mkuu kuna siku nusura tupoteze mama na mtoto!mjamzito ameshikwa na uchungu wa ghafla!kufika njiani barabara imefungwa!!aargh!!mi sikubaliani na hili swala banah!!
Makanisa yalivyokuwa mengi nchini hapa wakisema watoke na wao wakasalie barabarani hali itakuwaje??tutapata hata sehemu ya kupita kweli??ni nini maana ya kujenga nyumba za ibada?
Mbona viwanja vya shule na mipira vipo jamani!?katika hili suala watu tumegawanyika!!
uelewa wako ni mdogo ! ........... ni jeuri ya kidunia inakusumbua, kwani hakuna mahali kuna mtu kashindwa kufika atakako kwenda kisa waislaam wamefunga njia !Hii Quran Wengi mnaiquote vibaya!!kwa hiyo ni haki wewe kufunga barabara na kuzuia waislamu wenzio wasipite kisa tu unaipenda akhera kuliko dunia?mbona hata hiyo Aya haiusiani pia na kufunga barabara??
Iko hivi;Kufunga barabara ni kero kama kero zingine!na haina maana eti wewe ukifunga barabara ukaswali wakati maeneo mengine ya wazi yapo ndio itakufanya uingie FIRDAUS,hiyo haipo!!
Hata hiyo Idd yenyewe mtume S.A.W ameelekeza kuwa iswaliwe UWANJANI inapobidi!!na sio barabarani!!barabarani watu mtasali kwa dhalura na hiyo dharula kwa tunaowaona hapa tanzania wanaswali bado hawajaifikia!!ni ubinafsi tu kwa kweli.
KakaJambaziHizo barabara si zinakanyagwa kwa viatu lakini? Au gari kama limekanyaga mavi ya kitimoto au mikojo inakuaje tena panakua sehemu ya kuabudia?

Umenena kweliuelewa wako ni mdogo ! ........... ni jeuri ya kidunia inakusumbua, kwani hakuna mahali kuna mtu kashindwa kufika atakako kwenda kisa waislaam wamefunga njia !
Basi tuu...roho inakuuma na chuki kuwaona Waislaam wanafanya ibada .....tena ibada ya dakika 45 tu !
Poa kaka Ally Kombo kama inakubalika, nilikua sijui.KakaJambaziView attachment 252212 'kwa dharura inakubalika'View attachment 252214Askari wa Korea wakiwa katika majukumu ya Kijeshi !