Ni haki kufunga mitaa ya umma kwa ibada binafsi?

Ni haki kufunga mitaa ya umma kwa ibada binafsi?

...sasa kwakuwa Kanisa halifanyi basi na wengine wasifanye !?............. Wagalatia mna nongwa sana !

Ijumaa ni siku ya jamaa, siku ya pamoja, siku ya kuonyesha umoja wa Waislaam, siku ya kukutana Waislaam wa sehemu mbali mbali mahali pamoja !

View attachment 252210

Where can you get this kind of gathering ! ....tena hawa wamekusanyika bila ya ushawishi wa 'viwete watatembea na vipofu wataona' ! Kimbley

Excuse me!!punguza ubinafsi
 
Last edited by a moderator:
...sasa kwakuwa Kanisa halifanyi basi na wengine wasifanye !?............. Wagalatia mna nongwa sana !

Ijumaa ni siku ya jamaa, siku ya pamoja, siku ya kuonyesha umoja wa Waislaam, siku ya kukutana Waislaam wa sehemu mbali mbali mahali pamoja !

View attachment 252210

Where can you get this kind of gathering ! ....tena hawa wamekusanyika bila ya ushawishi wa 'viwete watatembea na vipofu wataona' ! Kimbley

Umeshasema DHARULA!!haya hebu niambie hizo dharula ni zipi??
 
Last edited by a moderator:
Yanaowafaa Hawa watu ni haya,huu Uzi uko mda mrefu lakini hakuna anayechangia kulaumu.Lakini huu wa wanaofanya ibada umepata watu wa kuunga mkono na kukashfu.
Luxembourg ni nchi ndogo kama asilimia 50 tu ya Tanzania ,lakini ni Tajiri zaidi kimaisha Kupita nchi zote za bara la ulaya. Ambapo kila mwananchi anavuna wastani wa shilingi milion 160 kwa mwaka.
Lakini waziri mkuu wa nchi hiyo ambaye ni mwanaume amemuoa mwanaume Mwenzake, na Kuwa mwanasiasa wa kwanza kuoa shoga.
 
radika
Point ni kuwa msizibe barabara hata mkiwa watu 100 hiyo ni public road. Kila mtu akifanya kama hivyo tutapita wapi?!

PRONDO;
Nakuunga mkono kabisa. Yawezekana kuwa kuna mgeni na ametokea mbali na anayo ramani yaa kufika kwako, ghafka kakutana na kizingiti hiki, sababu ati tuna hafla yetu. Si muende kwenye kumbi za starehe? Si muende kwenye viwanja hata vya vyama??
Tukisema hivyo wengine wanasema ati ni kwa vile sio upande wenu. Ndiyo, hakuna yeyote wa upande wetu mwenye ufinyu huu wa fikra.
 
Kwan hao waliofunga barabara wanaitumia kwa muda gani? Mbona sherehe au misiba tunafunga sana barabara
Ni kubumiliana tu, ukiweka sheria kwenye mambo madogo kama hayo means hamuaminian na hamvumilian, na kwa hiyo mtakuwa na hali ngumu sana
 
uelewa wako ni mdogo ! ........... ni jeuri ya kidunia inakusumbua, kwani hakuna mahali kuna mtu kashindwa kufika atakako kwenda kisa waislaam wamefunga njia !
Basi tuu...roho inakuuma na chuki kuwaona Waislaam wanafanya ibada .....tena ibada ya dakika 45 tu !

hongera yako wewe mwenye uelewa mkubwa wa kutoka msikitini na kwenda kufunga barabara ukasali eti ukategemea utaiona pepo kwa kuziba kwako njia!!
 
wazee wa mzizima wanajua chimbuko lao na kwa nn wanafanya hivyo ila tuliokulia bara tutapata shida sna na waliokulia mzizima na sio wahamiaji kwao kawaida mradi maisha yanasonga

Nimezaliwa Dar hapa hapa zaidi ya miaka thelathini iliopita lakini siwezi kusapoti issue kama hizi!
 
Mkihamia miji ya watu,mheshimu taratibu za miji husika.
Mzaliwa wa mji husika,asingeshangaa,angeona ni jambo la kawaida.Barabara ukiona imefungwa ujuwe imeombewa kibali.

Sio wazaliwa wote wa mji Fulani wanafikiri sawa.
 
Inawezekana Mleta mada utakuwaw umepita pale Kariakoo Mtaa wa Mchikichini karibu na Benk ya Boa kwenye mitaa ya maduka ya Vyombo. Maana daaah mtaa huo huwa wanajifungia tu barabala utafikiri walihangia hata mia kwa uwepo wake..!!!!

BACK TANGANYIKA
 
kaka hiyo ndio Dar al islam= The house of submission or Islamic world.

kama vipi njoo huku Sumba wanga= Tupa uchawi hakunaga hayo

Mkuu huo mji uko dunia gani hapa Ulimwenguni?

BACK TANGANYIKA
 
Inawezekana Mleta mada utakuwaw umepita pale Kariakoo Mtaa wa Mchikichini karibu na Benk ya Boa kwenye mitaa ya maduka ya Vyombo. Maana daaah mtaa huo huwa wanajifungia tu barabala utafikiri walihangia hata mia kwa uwepo wake..!!!!

BACK TANGANYIKA

kuna mtanzania asiyetoa kodi? au wengine wanachangiaje pato la taifa.....nnachojua na ilivyo kila penye maendeleoa ya nchi bas kuna direct na indirect tax kwa kila raia.
 
Hivi kuna logic gani watu kuwa na haki ya kufunga barabara za umma zilizopigwa lami kwa kodi za umma ili kufanya shughuli binafsi za ibada? Kwani viwanja si vinauzwa...

Kwanini mtumie barabara muhimu na kuzifunga? Kama nyumba yenu ya ibada haitoshi, basi changishaneni pesa mumnunue jirani yenu ili mtanue eneo lenu...

Mbona wengine huenda kuanzisha nyumba za ibada kwenye mapori, na eventually miji hudevelop kuwafuata kutokana na huduma za kijamii zinazotolewa sambamba na huduma kiimani? Hebu tubadilike bwana.


Huwa kuna vibali vinaombwa kwenye mamlaka husika za serikali (manisaa/halmashauri) kuhusu shughuli hizo.
 
Back
Top Bottom