Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,687
- 3,407
Nimetoa mfano wa Mwananyamala kwa kopa ambapo nikiwa naelekea nikakuta turubai katikati ya barabara. Mita zisizozidi MIA pana uwanja kwa nini sherehe isifanywe uwanjani ?
Wamewaka turubai na kuziba barabara wakati waliokaa kwenye mikeka ndani ya turubai watu watatu tu.
Hureeeee!!! baelezeee.