ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,228
- Thread starter
- #81
Karibu ☺️Asante.
Karibu ☺️Asante.
Eyce Shukran hapa sawa umefafanua vizuri🤝Ndio maana nikasisitiza ukitumika hakikisha unanufaika kwa sababu kutumika bila kukunufaisha ndio unapopaita "kutumika".
Yani unafanyiwa dhulma ila wewe unaichukulia kawaida kwa sababu, pengine una moyo mzuri, unajichukulia poa, hujui thamani halisi ya kitu unachokifanya au kuna ule uoga unaotokana na kuzoea routine flani kwa hiyo unaona, nikiiacha hii kazi, hii connection, nikimuacha huyu mtu. Ni nini kitatokea au nitaishije
Kutumika kwa asili ya neno lake ni kitendo cha watu kuitumia usefullness yako. Ila pale watu wanapoitumia pasipo kukufaidisha ndio tunaita "manipulation" Au kulaghaiwa.
Sikutaka kuongelea hili but kiufupi, hii dunia kutumika hakuepukiki ila kulaghaiwa kama unavyosema. Kunaepukika
Tuma lipa no☺️Umeuliza dalili Shesrise
Wacha mimi niseme kwenye relnship
Nafsi huugua sana, you will feel drained instead of being energized every time you interact with the peeson,Internal conflict inside you will be so vivid and loud.
Karibu tena🫴Shukrani
Mpaka watu wameona una roho nzuri tayar washanufaika na weweHata kama ni kweli una sifa nzuri na roho nzuri?
Labda utufundishe namna ya kutofautisha
Nashindwa kukuelewa sijui shida niniMpaka watu wameona una roho nzuri tayar washanufaika na wewe
Baaaasi 😂😂😂Aiseee unanufaisha watu wewe uko pale pale
Alooo ni hatari
Nilitaka kusema kitu ila nimejikuta ila baasi😁😁
Hii imewatokea wengi sana jamani.Sifa zao: Hawa ni watu wenye mbinu za hali ya juu, wenye hila, na wanaoangalia maslahi yao binafsi pekee (self-interest).
Mienendo yao: Hawatazami mahusiano au urafiki kama kiungo cha kihisia, bali kama nyenzo au mtaji (utility) wa kuwasaidia kufika wanapotaka. Wakishapata walichokuwa wanakitafuta (iwe ni fedha, hadhi, connection, au mtaji), thamani ya lile "daraja" (wewe) inaisha, na hapo ndipo wanapokutupa bila majonzi.
Sio mmoja wao naogopa sanaSijui kama na wewe ni mmoja wa hao wanaotumia mbinu hizi, ila ni ukweli umezungumzia uhalisia kabisa.
Ukweli unaujua wewe mwenyewe. Mimi nipo kuwasanua juu ya mbinu zenu mnazotumia. Mjue kuwa na sisi tuna moyo wa nyama kama ninyi na tuna hisia pia.Sio mmoja wao naogopa sana
Mbinu gani tena mkuu ?Ukweli unaujua wewe mwenyewe. Mimi nipo kuwasanua juu ya mbinu zenu mnazotumia. Mjue kuwa na sisi tuna moyo wa nyama kama ninyi na tuna hisia pia.
It is a fact, that women are masters of the craft; Men always fall victim.Mbinu gani tena mkuu ?
Kina nani wanazitumia?
Deception in relationships exists on both sides; both men and women are capable of itIt is a fact, that women are the masters of the craft; Men always fall victim.
Yeah it's true. Nenda tafuta movie inaitwa The Black widow. Iangalie yote alafu urudi kwenye mada yako hii.Deception in relationships exists on both sides; both men and women are capable of it
Nyongeza : kutafutwa pale unapoitajikaKatika muktadha wa mahusiano (kazini, kimapenzi, au urafiki), dalili kuu zinazoonesha kuwa unatumika kwa maslahi ya mtu mwingine ni pamoja na kuwepo kwa usawa mdogo, kuingiliwa kwa mipaka yako, na kutafutwa pale tu unapohitajika.
Shukran 🙏🙏Neno kutumika lina maana pana ya kitu au mtu kuwa kwenye matumizi, kazi, au huduma fulani kulingana na muktadha wa sentensi.
Katika maisha ya kila siku, neno hili hutumika kumaanisha chombo au kifaa ambacho kiko kwenye kazi kwa sasa, kama vile kusema "kompyuta hii inatumika." Pia, neno hili huwakilisha bidhaa ambazo si mpya bali zimeshawahi kumilikiwa na kutumiwa na mtu mwingine hapo awali, maarufu kama bidhaa za mitumba au zilizotumika.
Kwa upande wa binadamu, linamaanisha kitendo cha mtu kujitolea, kuajiriwa, au kutoa huduma kwa uaminifu katika taasisi, serikali, au jamii.
Asante ngoja tuone kama nitapata chance mimi sio mpenz wa movie sanaa ila musicYeah it's true. Nenda tafuta movie inaitwa The Black widow. Iangalie yote alafu urudi kwenye mada yako hii.