ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,748
- 42,217
- Thread starter
- #21
Tamaa mbele mauti nyumaTamaa ndiyo inayochangia mtu kutumika kupenda vitu viepesi
Tamaa mbele mauti nyumaTamaa ndiyo inayochangia mtu kutumika kupenda vitu viepesi
XuuhNapinga watu wa navyo ichukulia hii mada, nina usingizi mbaya ngoja kesho nitashusha mawazo yangu
??Xuuh
Unadanganywaje na single mother kwani unakua hujui au ndio huba limekuzidia😅😅Kama vijana wengi wanadanganywa na mapenzi na ma single mother unalea familia yake bila kujua mwisho wa siku unakuta mda ushakuacha
Hata kama ni kweli una sifa nzuri na roho nzuri?Ukiona sehemu ulipo watu wanakusifu una roho nzuri, mara huna baya, jua moja kwa moja kuna namna wananufaika na wewe
Shukrani bwasheeNaunga hoja yako mkono kwa nguvu kubwa hauwezi kukwepa kutumika
Sijatumia watu baado labda badae huko sijui lakini
Mtoa mada na wewe umewatumia wangapi kwa maslahi yako binafsi?
Shukrani 🙏In short according to psychology
We like in others what's missing in us, so they end up making us stay...
We hate in others what we hate in our selves, so people piss us off because they make our shadows visible
Kwenye haya maisha hakuna kutumika, tunafanya na kukubali kila kitu kibaya kinacho tutokea. Hata kama sisi wenyewe hatujui
Sasa hapo si unatumika kwa faidaUnapopokea mshahara kwa kazi yoyote wewe unatumika
Asantee mkuuMleta mada unapangilia vizuri mawazo yako, na uwasilishaji wako uko vizuri
Unatumika kwa faida yako au ya yule anayekutumia?Sasa hapo si unatumika kwa faida
Aiseee unanufaisha watu wewe uko pale paleUnaweza kutumika pia kwenye kazi kwa kufanya kazi nyingi halafu mshahara unakuwa mdogo.
Alooo ni hatariLakini pia mtu anaweza kukutumia kama daraja la kuvuka Kisha akakutupa huko.
Nilitaka kusema kitu ila nimejikuta ila baasi😁😁Kutumika kwenye mapenzi ndio babkubwa wadada na wakaka wengi wanatumika kwa kujua ama kwa kutokujua 😝🙆.
Mungu nisaidie nisitumike 🙏
Hii ni yakuzingatia sana Shukran MkuuUnatumika kwa faida yako au ya yule anayekutumia?
Inabidi uji tathmini
Hivi hii issue ya Limbwata ni kweli au 🤣🤣 naomba maelekezoMbele ya Limbwata/Shuntama..ni utatumika na kutumiwa sana tuuuuu....!!!