Ann-Katrin
Member
- Mar 11, 2012
- 35
- 5
Chadema
Mbona M/kiti wa tume hakuwahi kutoa takwimu za waliopiga kura kama hakukuwa na uchakachuaji?
Khaa!!® how many??Kiukweli watu wanaipenda Chadema.
MSALANI, sawa, hiki ni kipima joto tu cha JF...hebu wape taarifa wakereketwa waje wakuunge mkono kama mnavyoalikana kila mara hapa mkitaka kuonesha mnavyoungwa mkono na wana JF wengi. Wako wapi Lizaboni, Simiyu Yetu, kichondi77, sirluta, TataMadiba, FaizaFoxy, Ritz, mjepo, arola, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Makusudically...loo kumbe mko wengi! Bahati mbaya sana JF hakuna ubwabwa, kanga, tshirt na kofia wala posho na malori ya kusomba watu; Hebu njooni mtetee CCM jamani.Poll kama hii ilifanyika mwaka 2010 hapa hapa JF, Dr.Slaa akapata ushindi wa Kimbunga! Lakini wote tunafahamu kiulihalisia Dr. Slaa aliambulia patupu.
Moods walitizame hilo hata mimi mwenyewe nimejibiwa hvyo
MSALANI, sawa, hiki ni kipima joto tu cha JF...hebu wape taarifa wakereketwa waje wakuunge mkono kama mnavyoalikana kila mara hapa mkitaka kuonesha mnavyoungwa mkono na wana JF wengi. Wako wapi Lizaboni, Simiyu Yetu, kichondi77, sirluta, TataMadiba, FaizaFoxy, Ritz, mjepo, arola, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Makusudically...loo kumbe mko wengi! Bahati mbaya sana JF hakuna ubwabwa, kanga, tshirt na kofia wala posho na malori ya kusomba watu; Hebu njooni mtetee CCM jamani.
MSALANI, kwa ufahamisho tu...katika uchaguzi wa mwaka 2010, CCM iliambulia kura 5,000,000 tu kati ya wapiga kura 20,000,000 sawa na asilimia 25%. Hii ina maana 15,000,000 waliikataa CCM.
[/B][/COLOR]Haya matokeo ni kwa mujibu wa tume ipi ya uchaguzi!
Khaa!! Kwa hoja mbovu kama hii eti nawe ujiite ni GT basi kutakuwa hakuna maana ya kuwa na maGT :cool2:Una roho mbaya kama ya bibi yako. Hiyo avatar inafanana na ccm. Pole rohombaya Kinana maana tembo wote kawamaliza.
Kuna vyama vingi nchini, ila kuna m\vyama vichache ambavyo uzungumziwa kila mara. Je ni Chama Gani Chenye Mvuto zaidi kwa Wananchi?
Basi shiriki kwenye kura hapo juu !
hivi wanaotetea CCM hapa huwa ni wengi, mbona hawaipigii kura? au ni wachache tu majina bandia yanajirudia?