Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwako?


  • Total voters
    164
  • Poll closed .
We uko wapi? Hujui kama hicho chama cha kilaghai siku hizi kinafubaa kama mshumaa???

Njoo kwenye tumaini jipya na chama cha wasomi.
ACT Tanzania.

Kweli ACT ni wasomi maana proposal yao ilitupwa nje huko chadema baada ya kuona haina statistical analysis. Shame on you, i think ACT is a party of a barbaric people.
 
CC:Lizaboni, simiyu yetu, MSALANI, kichondi77

Poll kama hii ilifanyika mwaka 2010 hapa hapa JF, Dr.Slaa akapata ushindi wa Kimbunga! Lakini wote tunafahamu kiulihalisia Dr. Slaa aliambulia patupu.
Chadema kina mashabiki wengi sana hapa JF, kwahiyo kutumia JF tu, kupata picha ya chama chenye mvuto kwa wananchi hautapata jibu sahihi!
 
Kweli ACT ni wasomi maana proposal yao ilitupwa nje huko chadema baada ya kuona haina statistical analysis. Shame on you, i think ACT is a party of a barbaric people.

Mliwafukuza baada ya kuona wanahatalisha maslahi yenu vilaza.

Sasa waliobaki chadema wana elimu gani mpaka tuwatolee mifano kwenye jamii?

Mbowe form iv, slaa dk.ahera(elimu ya kufikirika), mnyika form six, msigwa la saba, lema form iv, sugu form ii. Msomi ni lissu chadema nzima japo naye anaonekana ni local kwasababu anakubali kutumiwa na wajinga na ni mpayukaji.

Sasa hapo utarajie chama kukua au kudidimia taratibu kama mshumaa?

Chama ni A.C.T-Tanzania chenye watu waliojipambanua na ujinga wakakataa kuwatumikia wajinga na waganga njaa.

Karibu sana.
 
We uko wapi? Hujui kama hicho chama cha kilaghai siku hizi kinafubaa kama mshumaa???

Njoo kwenye tumaini jipya na chama cha wasomi.
ACT Tanzania.

Hivi act ni ka saccos kanakohusika na nini?utapeli mtandaoni au?
 
Hivi act ni ka saccos kanakohusika na nini?utapeli mtandaoni au?

Saccos ni kule ufipa mlikopanga gofu karibu na makaburini wakati mabosi zako kila mwezi wanachikichia na milioni 240. Hata kamjengo ka milioni 100 wameshindwa kujenga.

Yaan utafikiri sio wawekezaji wazawa wa nchi hii. Hayo tumezoea kuyaona kwa makampuni ya wageni wanaokuja kuwekeza tz kwan hawapendagi kujenga ofisi hapa tz. Ni mwendo wa kupanga ofisi, kuchuma na kusepa.
 
Saccos ni kule ufipa mlikopanga gofu karibu na makaburini wakati mabosi zako kila mwezi wanachikichia na milioni 240. Hata kamjengo ka milioni 100 wameshindwa kujenga.

Yaan utafikiri sio wawekezaji wazawa wa nchi hii. Hayo tumezoea kuyaona kwa makampuni ya wageni wanaokuja kuwekeza tz kwan hawapendagi kujenga ofisi hapa tz. Ni mwendo wa kupanga ofisi, kuchuma na kusepa.

Kwanza kabisa mimi sina bosi,pili chama kuwa na jengo lake la ofisi au la kupanga,kunaathiri vipi utendaji wa viongozi katika kuwatumikia wananchi?ccm wana ofisi lakini utendaji uleule,act(mke wa ccm) amekodishwa na mme wake ccm jengo pale arusha baada ya watu kuwakatalia kuwapa vyumba vya kupanga,sasa si mkajenge kwanza nyie
 
Kwanza kabisa mimi sina bosi,pili chama kuwa na jengo lake la ofisi au la kupanga,kunaathiri vipi utendaji wa viongozi katika kuwatumikia wananchi?ccm wana ofisi lakini utendaji uleule,act(mke wa ccm) amekodishwa na mme wake ccm jengo pale arusha baada ya watu kuwakatalia kuwapa vyumba vya kupanga,sasa si mkajenge kwanza nyie

Nyie ndio hata mkipata pesa nyingi mnasema hamuoni umuhimu wa kujenga nyumba zenu kwani kwenye nyumba za kupanga panatosha.

We chizi kabisa hujui kuwa maisha ni nyumba? Mtaendelea kuonekana local kwa mawazo hayo.
 
Khaa!!!™® Tanzania ina watu zaidi ya milion 45, JF kuna members zaidi ya elfu 15, Thread imeangaliwa na watu zaidi ya 1000 lakini watu wasiofika 50 ndiyo wamevote. Wenye akili wameng'amua
 
Back
Top Bottom