Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwako?


  • Total voters
    164
  • Poll closed .
Cuf, imekubalika asilimia 90 zanzibar katika Jamhuri ya Muungano, hivyo kama kutafanyika marekebisho ya uchaguzi kisheria, yaani rais wa muungano apate theluthi 2 kila upande wa muungano, Basi Cuf itatoa rais wa muungano.
 
Chadema!

Please enable this poll on the Mobile option as well.
 
Cuf, imekubalika asilimia 90 zanzibar katika Jamhuri ya Muungano, hivyo kama kutafanyika marekebisho ya uchaguzi kisheria, yaani rais wa muungano apate theluthi 2 kila upande wa muungano, Basi Cuf itatoa rais wa muungano.

Na huku Tanganyika watapata wapi 2/3? Hamna namna lazima Chadema,CUF na NCCR waahirikiane ili kuishinda CCM!
 
Zungumzia sera za uwajibikaji wa kweli kwa wananchi wake
 
Chama chenye nia ya kweli ya kuleta maendeleo kwa kila Mtanzania. CDM
 
Poll kama hii ilifanyika mwaka 2010 hapa hapa JF, Dr.Slaa akapata ushindi wa Kimbunga! Lakini wote tunafahamu kiulihalisia Dr. Slaa aliambulia patupu.
Chadema kina mashabiki wengi sana hapa JF, kwahiyo kutumia JF tu, kupata picha ya chama chenye mvuto kwa wananchi hautapata jibu sahihi!

Mbona M/kiti wa tume hakuwahi kutoa takwimu za waliopiga kura kama hakukuwa na uchakachuaji?
 
Mliwafukuza baada ya kuona wanahatalisha maslahi yenu vilaza.

Sasa waliobaki chadema wana elimu gani mpaka tuwatolee mifano kwenye jamii?

Mbowe form iv, slaa dk.ahera(elimu ya kufikirika), mnyika form six, msigwa la saba, lema form iv, sugu form ii. Msomi ni lissu chadema nzima japo naye anaonekana ni local kwasababu anakubali kutumiwa na wajinga na ni mpayukaji.

Sasa hapo utarajie chama kukua au kudidimia taratibu kama mshumaa?

Chama ni A.C.T-Tanzania chenye watu waliojipambanua na ujinga wakakataa kuwatumikia wajinga na waganga njaa.

Karibu sana.

I said previously that you are barbaric. Yaani washenzi, means you know no nothing.
 
Nyie ndio hata mkipata pesa nyingi mnasema hamuoni umuhimu wa kujenga nyumba zenu kwani kwenye nyumba za kupanga panatosha.

We chizi kabisa hujui kuwa maisha ni nyumba? Mtaendelea kuonekana local kwa mawazo hayo.
We ---- kwani CDM wamepanga kwa mama yako?
 
Khaa!!!™® Tanzania ina watu zaidi ya milion 45, JF kuna members zaidi ya elfu 15, Thread imeangaliwa na watu zaidi ya 1000 lakini watu wasiofika 50 ndiyo wamevote. Wenye akili wameng'amua

Una roho mbaya kama ya bibi yako. Hiyo avatar inafanana na ccm. Pole rohombaya Kinana maana tembo wote kawamaliza.
 
Mliwafukuza baada ya kuona wanahatalisha maslahi yenu vilaza.

Sasa waliobaki chadema wana elimu gani mpaka tuwatolee mifano kwenye jamii?

Mbowe form iv, slaa dk.ahera(elimu ya kufikirika), mnyika form six, msigwa la saba, lema form iv, sugu form ii. Msomi ni lissu chadema nzima japo naye anaonekana ni local kwasababu anakubali kutumiwa na wajinga na ni mpayukaji.

Sasa hapo utarajie chama kukua au kudidimia taratibu kama mshumaa?

Chama ni A.C.T-Tanzania chenye watu waliojipambanua na ujinga wakakataa kuwatumikia wajinga na waganga njaa.

Karibu sana.

Usiwe mbaguzi ndugu,jenga hoja kama Mtanzania anayetaka kuhakikisha nchi yetu inasonga mbele Kiuchumi kisiasa,kiutamadumani. Usijadili watu,jadili issues,epuka pesonal attacks. CCM tunataka upinzani imara wenye kusimamia maslahi ya nchi na siyo blah blah,
 
Back
Top Bottom