Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwako?


  • Total voters
    164
  • Poll closed .
keepin ur mouth shut sometimes my look as a sign of bravely.u dnt hv to open ur mouth every now and then.If it doesnt concern u ,stay the hell out of the way.
 
Kama utfiti huu umefanyika jf sibishani nawewe
September 2014 at 20:14
NCCR-Mageuzi
Array
1 0.72%
Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Array
10 7.25%
CHADEMA
Array
121 87.68%
ACT-Tanzania
Array
5 3.62%
TLP 0 0%
CUF
Array
1 0.72%
Voters: 138.
Hapo mimi sijapiga
 
Kuna vyama vingi nchini, ila kuna m\vyama vichache ambavyo uzungumziwa kila mara. Je ni Chama Gani Chenye Mvuto zaidi kwa Wananchi?

Basi shiriki kwenye kura hapo juu !

Habari zenu wanajamvi;-
Kwa mara ingine tena mh. waziri wa ardhi ambaye mwanzoni alikua mkurugenzi mkuu umoja wa mataifa Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka katoa safu yako mpya ya ushindi,
1. UADILIFU
2. UZALENDO
3. UCHAPA KAZI
3. TANZANIA NA WANANCHI KWANZA MAS ALA BADAE
4. RASILIMALI ZA TAIFA ZITUMIKE KWA MASLAHI YA WATANZANIA NA WANANCHI KWA UJUMLA
5. KUTATUA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
6. KUBORESHA HUDUMA ZA KIJAMII KM SHULE, HOSPITALI, MIUNDOMBINU N.K
7. KUTOKUWA NA MAKUNDI NA KUNDI ILI KUEPUKA KWENDA IKULU NA KUNDI LAKE
8. KUTEKELEZA ILANI YA CCM NA SEREKALI KWA UJUMLA
9. KUDHIBITI MAPATO NA KUONDOA UMASIKINI SAMBAMBA NA KUINUA UCHUMI ILI WASIOJIWEZA KUPEWA POSHO N.K
10. N.K
NAWASILISHA NDG. ZANGU.
 
Wadau tusiishie kupeana moyo kwenye mitandao,tuhakikishe tunajitokeza kwa wingi uchaguzi ukifika na kufanya kweli.Ni wakati sasa wa kufanya mabidiliko makubwa kiutawala maana hapa tulipofikia ni pabaya na tunaendelea kuburuzwa na wenye nacho.
Tanzania bila CCM ndio jawabu la viburi na kujisahau kwa viongozi kulikovuka mipaka.UPINZANI juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
waku tukiacha ushabiki, wote tunaoingia hapa jf kwenye mijadala ya kisiasa tuwe waislam, wakristo, CDM au ccm wote tunajielewa japo silazima wote tufanane mitazamo na maslai sasa sehem kama hii uwitishe kura za maoni CDM lazima tushinde tuko wengi
 
Ukawa will win if they stick togather. Na mbatia akaachana na mambo ya kisaliti ya kujiunga na lowassa
 
Kuna vyama vingi nchini, ila kuna m\vyama vichache ambavyo uzungumziwa kila mara. Je ni Chama Gani Chenye Mvuto zaidi kwa Wananchi?

Basi shiriki kwenye kura hapo juu !

- Kwani Sheria inasema chama kinachotawala na kilichochaguliwa na wananchi na kipo madarakani ndio kinachokubalika maana ndicho kilichopigiwa kura na wananchi wengi, zingine zinaweza kuwa ni habari za mitaani tu za kujipa moyo kwa miaka kama 30 sasa!!

Le Mutuz
 
- Kwani Sheria inasema chama kinachotawala na kilichochaguliwa na wananchi na kipo madarakani ndio kinachokubalika maana ndicho kilichopigiwa kura na wananchi wengi, zingine zinaweza kuwa ni habari za mitaani tu za kujipa moyo kwa miaka kama 30 sasa!!

Le Mutuz
piga kura wew
 
CCM ndio chenye mvuto zaidi!!

ni kweli ccm inapendwa kwa sababu viongozi wake wanafika vijijini tofauti na cdm ambayo viongozi hutumia ndege toka mji hadi mji na wanapofika hapo huchangisha wafuasi wake mafuta ya ndege
 
Back
Top Bottom