Most likely kuna kitu kibaya sana walifanyiana na baba au ndugu wa upande wa baba yako na viapo vya kutosha! Seems hataki kuvunja viapo walivyoapizana ndio maana ana-behave hivyo. Sio utashi wake ni viapo vibaya walivyoapizana.ndio ameolewa na anamtoto mmoja kwa huyo mume wake
Mkuu, mm mama yangu alikula kona nikiwa na miaka miwili.. anaweza kuja leo akapotea miaka mitatu akaibuka siku moja akalala mbele tena miaka kadhaa, navyoandika hapa mimi na yeye hatuna ukaribu wowote na analijua hilo nishamwambia kabisa ukitaka tuishi kwa aman kaa huko na mm nikae huku usisogeze pua yako hapa, hakuna siku hata moja nitapiga simu ya kumjulia hali wala yeye hafanyi hivyo, tutawasiliana tu kama kuna jambo linalo lazimu hivyo nje ya hapo miaka itakatika bila mawasilianoInafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Miaka inaenda unamaliza elimu yako unapata kaz mnakuwa karibu sana baada ya muda matatizo yanatokea anajikausha km hajui chochote kuhusu wewe yan anaeza kukaa hata miezi miwil hakuna sms wala simu ila b4 uko vizur kiuchumi unakazi simu muda wote hazikauk.
Kila nikijaribu kumueka karibu kumuuliza kwann anakuwa hv yeye ni mtu wa kulalamika tu km namuonea na kusema nampa lawama tu mara sijui simpend yeye ila hapo yeye hajawah kukuonyeshea upendo km wamama kutokumuona mwanae toka akiwa na miaka 4 yan yuko normal mpk muda mwingine unajiuliza hv "huyu ni mama angu mazazi".
Napitia msoto mkali sana lkn sijawah pata sapoti kutoka kwake hata kimawazo ukuaji wangu mpk elimu yangu hajui chochote.
Nikijaribu kumuelewesha inakuwa km ugomv anapanik haraka na kuona km mm namfundisha, muda mwingine nashikwa na hasira nataman hata nifute numb yake yan km mtu anakuombea mabaya.
Kipind cha nyuma alikuwa ananishaur niache kuwasiliana na mama alienilea kuwa sio mzur kwangu lkn anajisahaulisha huyo mama wa kambo mm ndio alienilea iwe kwa ubaya au uzur.
BINAFS NAONA NIISHI MAISHA YANGU NIACHANE NAE AU NIFUTE NUMB YAKE KABISA AU NI ASSUME KM SINA MAMA TU KM HAPO MWANZO NIKAE NAE MBALI NAJARIBU KUMVUTA LKN NAONA KM THAMAN INAONEKANA PALE NIKIWA NA KAZI/PESA ....!!!
BINAFS NAJIKUTA SAS SINA MAPENZ NAE KABISAAA TOKA TUMEJUANA 2012 SIJAONA TOFAUT NA KUTOKUMJUA, HT RAHA YA KWENDA KWAKE KUMSALIMIA SION TENA
mkuu kipind niko vzr nilikuw namjulia hali sana na kumsaidia pale nilipoweza lkn kwasas mambo yako vby ila nimemuona ni mtu asiekuw na upendo wa dhati kitu kdg ukiongea nae labd umshaur yeye ni kulalama na kusema nimpende nisimpende ni sawa na anamuachia Mwenyez Mungu(yan km mtu anakuombea mabaya hv) mm hapo ntampenda vip tenaUsimchukie Ila tumia ile mbinu inaitwa "Love from a distance" mpende na msaidie pale unapoweza Kama Mama yako Ila usiweke ukaribu wa kumtegemea kimawazo , kiuchumi n.k
Pia mzingatie na muweke karibu Sana huyo care giver wako step-mother wako aliyekulea MPE ushirikiano na kum-keep closer.
pia hakikisha unakuwa positive Sana usimchukie MTU yeyote hapa duniani Bali yachukie mambo yao na sio Watu.
Nahisi mkuu upo financial broke that's why unaona watu wako wa Karibu wanakutenga ,hii ni kawaida watu weusi wapo hivyo wala usichukulie serious Sana.
Katika vipindi vigumu Omba Mungu akupe utulivu (serenity) Kama mama yako alikuzaa na hajakutoa Kama Abortion basi MPE heshima ,hii itafungua Milango Sana.
CCC.Dr
Hiyo sheria haipo katika sheria za Tanzania. Atapigwa KO asubuhi na mapema.Kamfungulie kesi mahakamani kwa kosa la kukuzaa bila ridhaa yako
Bonafide claim of right
ndio ameolewa na anamtoto mmoja kwa huyo mume wake
Mkuu hili ni jaribu unapaswa kulishinda.Inafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Miaka inaenda unamaliza elimu yako unapata kaz mnakuwa karibu sana baada ya muda matatizo yanatokea anajikausha km hajui chochote kuhusu wewe yan anaeza kukaa hata miezi miwil hakuna sms wala simu ila b4 uko vizur kiuchumi unakazi simu muda wote hazikauk.
Kila nikijaribu kumueka karibu kumuuliza kwann anakuwa hv yeye ni mtu wa kulalamika tu km namuonea na kusema nampa lawama tu mara sijui simpend yeye ila hapo yeye hajawah kukuonyeshea upendo km wamama kutokumuona mwanae toka akiwa na miaka 4 yan yuko normal mpk muda mwingine unajiuliza hv "huyu ni mama angu mazazi".
Napitia msoto mkali sana lkn sijawah pata sapoti kutoka kwake hata kimawazo ukuaji wangu mpk elimu yangu hajui chochote.
Nikijaribu kumuelewesha inakuwa km ugomv anapanik haraka na kuona km mm namfundisha, muda mwingine nashikwa na hasira nataman hata nifute numb yake yan km mtu anakuombea mabaya.
Kipind cha nyuma alikuwa ananishaur niache kuwasiliana na mama alienilea kuwa sio mzur kwangu lkn anajisahaulisha huyo mama wa kambo mm ndio alienilea iwe kwa ubaya au uzur.
BINAFS NAONA NIISHI MAISHA YANGU NIACHANE NAE AU NIFUTE NUMB YAKE KABISA AU NI ASSUME KM SINA MAMA TU KM HAPO MWANZO NIKAE NAE MBALI NAJARIBU KUMVUTA LKN NAONA KM THAMAN INAONEKANA PALE NIKIWA NA KAZI/PESA ....!!!
BINAFS NAJIKUTA SAS SINA MAPENZ NAE KABISAAA TOKA TUMEJUANA 2012 SIJAONA TOFAUT NA KUTOKUMJUA, HT RAHA YA KWENDA KWAKE KUMSALIMIA SION TENA
inanifkirisha hii kwamaan ukimsikiliza mzee anamtupia mama lawama na ukimsikiliza huyu mama nae anamtupia mzee lawana yan kila upande haukubali makosaMost likely kuna kitu kibaya sana walifanyiana na baba au ndugu wa upande wa baba yako na viapo vya kutosha! Seems hataki kuvunja viapo walivyoapizana ndio maana ana-behave hivyo. Sio utashi wake ni viapo vibaya walivyoapizana.
Inafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Miaka inaenda unamaliza elimu yako unapata kaz mnakuwa karibu sana baada ya muda matatizo yanatokea anajikausha km hajui chochote kuhusu wewe yan anaeza kukaa hata miezi miwil hakuna sms wala simu ila b4 uko vizur kiuchumi unakazi simu muda wote hazikauk.
Kila nikijaribu kumueka karibu kumuuliza kwann anakuwa hv yeye ni mtu wa kulalamika tu km namuonea na kusema nampa lawama tu mara sijui simpend yeye ila hapo yeye hajawah kukuonyeshea upendo km wamama kutokumuona mwanae toka akiwa na miaka 4 yan yuko normal mpk muda mwingine unajiuliza hv "huyu ni mama angu mazazi".
Napitia msoto mkali sana lkn sijawah pata sapoti kutoka kwake hata kimawazo ukuaji wangu mpk elimu yangu hajui chochote.
Nikijaribu kumuelewesha inakuwa km ugomv anapanik haraka na kuona km mm namfundisha, muda mwingine nashikwa na hasira nataman hata nifute numb yake yan km mtu anakuombea mabaya.
Kipind cha nyuma alikuwa ananishaur niache kuwasiliana na mama alienilea kuwa sio mzur kwangu lkn anajisahaulisha huyo mama wa kambo mm ndio alienilea iwe kwa ubaya au uzur.
BINAFS NAONA NIISHI MAISHA YANGU NIACHANE NAE AU NIFUTE NUMB YAKE KABISA AU NI ASSUME KM SINA MAMA TU KM HAPO MWANZO NIKAE NAE MBALI NAJARIBU KUMVUTA LKN NAONA KM THAMAN INAONEKANA PALE NIKIWA NA KAZI/PESA ....!!!
BINAFS NAJIKUTA SAS SINA MAPENZ NAE KABISAAA TOKA TUMEJUANA 2012 SIJAONA TOFAUT NA KUTOKUMJUA, HT RAHA YA KWENDA KWAKE KUMSALIMIA SION TENA
We mwenyewe tayari umeshafanya kosa la Ushawishi na uchochezi kwa mujibu wa K/F 390 sura 16 K.AHiyo sheria haipo katika sheria za Tanzania. Atapigwa KO asubuhi na mapema.
Mkuu hili ni jaribu unapaswa kulishinda.
Katika maisha yako yote usiinue sauti ama kauli yeyote ya kumlaumu mzazi wako yeyote awe mama au baba kwa kutokuwa available pale unapo au ulipomuhitaji.
Kama ni mwanadini na Mgalatia kama mimi, Biblia inatuelekeza kupitia amri Kumi za Mungu kwamba Tuwaheshimu baba na mama zetu ili tupate heri na siku nyingi duniani. Biblia haikusema tuwaheshimu pale wanapokuwa wazuri kwetu, bali hata pale wanapokuwa tanuru kali kwetu. Yaani hali yeyote ile haimtioi mzazi katika hadhi yake ya uzazi.
USHAURI
Fanya kama vile hajakukosea maana Aliyemuumba yeye ndiye mwenye uwezo na kusudi la kushughulika naye.
- Punguza kumlaumu na kumlaani mama aliyekuzaa
- Usikubali kutenganishwa na mama yako mlezi
- Usimdharau ama kumbeza baba yako kwa kuzaa na mama yako na kukupata wewe
- Mama ambaye hatoi ushirikiano kaa kimya tena kama anasema usimsumbue pls do that maana nilo ni jambo la Kimungu kukuweka naye mbali katika muda unaotafakari maisha yako yaanzaje upya
- Akiwa na shida msaidie within your limit, usimtenge
- Kila siku mtaje kwenye sala zako kumuombea mema.
Huu ni mtego umewekewa na usiyemuona ili aangushe future yako inayomtishia sana
Hivi kuandika maneno na kuacha herufi ya mwisho ni utozi au ndiyo fasheni? I mean kuandika ''ananishaur, sijawah, vizur, etc...Inafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Miaka inaenda unamaliza elimu yako unapata kaz mnakuwa karibu sana baada ya muda matatizo yanatokea anajikausha km hajui chochote kuhusu wewe yan anaeza kukaa hata miezi miwil hakuna sms wala simu ila b4 uko vizur kiuchumi unakazi simu muda wote hazikauk.
Kila nikijaribu kumueka karibu kumuuliza kwann anakuwa hv yeye ni mtu wa kulalamika tu km namuonea na kusema nampa lawama tu mara sijui simpend yeye ila hapo yeye hajawah kukuonyeshea upendo km wamama kutokumuona mwanae toka akiwa na miaka 4 yan yuko normal mpk muda mwingine unajiuliza hv "huyu ni mama angu mazazi".
Napitia msoto mkali sana lkn sijawah pata sapoti kutoka kwake hata kimawazo ukuaji wangu mpk elimu yangu hajui chochote.
Nikijaribu kumuelewesha inakuwa km ugomv anapanik haraka na kuona km mm namfundisha, muda mwingine nashikwa na hasira nataman hata nifute numb yake yan km mtu anakuombea mabaya.
Kipind cha nyuma alikuwa ananishaur niache kuwasiliana na mama alienilea kuwa sio mzur kwangu lkn anajisahaulisha huyo mama wa kambo mm ndio alienilea iwe kwa ubaya au uzur.
BINAFS NAONA NIISHI MAISHA YANGU NIACHANE NAE AU NIFUTE NUMB YAKE KABISA AU NI ASSUME KM SINA MAMA TU KM HAPO MWANZO NIKAE NAE MBALI NAJARIBU KUMVUTA LKN NAONA KM THAMAN INAONEKANA PALE NIKIWA NA KAZI/PESA ....!!!
BINAFS NAJIKUTA SAS SINA MAPENZ NAE KABISAAA TOKA TUMEJUANA 2012 SIJAONA TOFAUT NA KUTOKUMJUA, HT RAHA YA KWENDA KWAKE KUMSALIMIA SION TENA
unafos kukalishwa sehemu isiyo yakonielewe vzr shida sio kusaidiwa hapa nazungumzia umuhimu wa mama na mtoto
pole sanMbona kama mimi huyu?Tuko na same story man!
vitu vingine havina maan kuvijadili ungeweza kukaa kmy tuHivi kuandika maneno na kuacha herufi ya mwisho ni utozi au ndiyo fasheni? I mean kuandika ''ananishaur, sijawah, vizur, etc...
Vina maana mno. Wewe usiyeona vina maana ndiye una kasoro. Tusingekuwa tuna kanuni za kuandika maneno ungekuweza kuwasiliana na wengine? Sijui ni kwa nini watu wa shule za kata hamuoni umuhimu wa mtu kujua kusoma na kuandika kwa ufasaha.vitu vingine havina maan kuvijadili ungeweza kukaa kmy tu
Inafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Miaka inaenda unamaliza elimu yako unapata kaz mnakuwa karibu sana baada ya muda matatizo yanatokea anajikausha km hajui chochote kuhusu wewe yan anaeza kukaa hata miezi miwil hakuna sms wala simu ila b4 uko vizur kiuchumi unakazi simu muda wote hazikauk.
Kila nikijaribu kumueka karibu kumuuliza kwann anakuwa hv yeye ni mtu wa kulalamika tu km namuonea na kusema nampa lawama tu mara sijui simpend yeye ila hapo yeye hajawah kukuonyeshea upendo km wamama kutokumuona mwanae toka akiwa na miaka 4 yan yuko normal mpk muda mwingine unajiuliza hv "huyu ni mama angu mazazi".
Napitia msoto mkali sana lkn sijawah pata sapoti kutoka kwake hata kimawazo ukuaji wangu mpk elimu yangu hajui chochote.
Nikijaribu kumuelewesha inakuwa km ugomv anapanik haraka na kuona km mm namfundisha, muda mwingine nashikwa na hasira nataman hata nifute numb yake yan km mtu anakuombea mabaya.
Kipind cha nyuma alikuwa ananishaur niache kuwasiliana na mama alienilea kuwa sio mzur kwangu lkn anajisahaulisha huyo mama wa kambo mm ndio alienilea iwe kwa ubaya au uzur.
BINAFS NAONA NIISHI MAISHA YANGU NIACHANE NAE AU NIFUTE NUMB YAKE KABISA AU NI ASSUME KM SINA MAMA TU KM HAPO MWANZO NIKAE NAE MBALI NAJARIBU KUMVUTA LKN NAONA KM THAMAN INAONEKANA PALE NIKIWA NA KAZI/PESA ....!!!
BINAFS NAJIKUTA SAS SINA MAPENZ NAE KABISAAA TOKA TUMEJUANA 2012 SIJAONA TOFAUT NA KUTOKUMJUA, HT RAHA YA KWENDA KWAKE KUMSALIMIA SION TENA
Kwanza nikupe pole kwa yaliyokukuta. Watoto tujifunze na kukubali maisha tuliyopitia kutoka kwa wazazi. Unaweza usinielewa ila kuna mchango nimeweka humu juu ya hili sakata lako, ebu pitia ujifunze kitu.Inafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Miaka inaenda unamaliza elimu yako unapata kaz mnakuwa karibu sana baada ya muda matatizo yanatokea anajikausha km hajui chochote kuhusu wewe yan anaeza kukaa hata miezi miwil hakuna sms wala simu ila b4 uko vizur kiuchumi unakazi simu muda wote hazikauk.
Kila nikijaribu kumueka karibu kumuuliza kwann anakuwa hv yeye ni mtu wa kulalamika tu km namuonea na kusema nampa lawama tu mara sijui simpend yeye ila hapo yeye hajawah kukuonyeshea upendo km wamama kutokumuona mwanae toka akiwa na miaka 4 yan yuko normal mpk muda mwingine unajiuliza hv "huyu ni mama angu mazazi".
Napitia msoto mkali sana lkn sijawah pata sapoti kutoka kwake hata kimawazo ukuaji wangu mpk elimu yangu hajui chochote.
Nikijaribu kumuelewesha inakuwa km ugomv anapanik haraka na kuona km mm namfundisha, muda mwingine nashikwa na hasira nataman hata nifute numb yake yan km mtu anakuombea mabaya.
Kipind cha nyuma alikuwa ananishaur niache kuwasiliana na mama alienilea kuwa sio mzur kwangu lkn anajisahaulisha huyo mama wa kambo mm ndio alienilea iwe kwa ubaya au uzur.
BINAFS NAONA NIISHI MAISHA YANGU NIACHANE NAE AU NIFUTE NUMB YAKE KABISA AU NI ASSUME KM SINA MAMA TU KM HAPO MWANZO NIKAE NAE MBALI NAJARIBU KUMVUTA LKN NAONA KM THAMAN INAONEKANA PALE NIKIWA NA KAZI/PESA ....!!!
BINAFS NAJIKUTA SAS SINA MAPENZ NAE KABISAAA TOKA TUMEJUANA 2012 SIJAONA TOFAUT NA KUTOKUMJUA, HT RAHA YA KWENDA KWAKE KUMSALIMIA SION TENA