Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Sio vinawekwa kila siku ni mara chache......that's why mi naweza kusema kunuka huko kunatokana na mtu na mtu.........unaweza ukakesha unajisafisha na bado ukanuka na unaweza ukaweka hicho na vile vile ukaendelea kutoa harufu......so sijui zaidi ya hapo
Aiseeeeeeeeee polen sana ila mngejua defense mechanism ya uke was mwanamke wala msingepiga makelele namna hiii
 
~~>>>Wapo wanawake wanaonuka Uchi.... Hizi ni changamoto hasa za Kimaumbile... Hatuna sababu ya kuwananga......


~~~>>>Tupo wanaume tunaonuka kwapa na Mapumbu.... Ni changamoto ya kimaumbile..


Hizi changamoto tunaweza kushauriana jinsi ya kuzikabili.
 
Ningekua mimi nihuyo Mdada alosemwa namimj ningeanzisha Uzi nikisema "" Vibamia vyenu peleken uko, mwanamke raha kukojozwa sio misifa na kujitapa tapa "" ......teheeee teheeeee


Huu Uzi umenikumbusha kitu ,,Siku zote mwalimu asiyekua na ufanisi sahihi wakazi yake huwa NI MKALI SANA ALAFU ANAONGEA SANA.
 
I don't care cha msingi my pu.... ipo okay inatosha
Alafu wanaume wengine nikehelele ,, wewe uke nikwaajil ya ume ,alafu bado umei insert finger sawa sikatai na bado unuse hivi iyo ni akili au matope ??????

Kwaufupi hakuna uke wamwanamke ambao upo sawa in term of smell ... Hata kama umsafi vipi ,hata km unapuliza pafyumu vipi ,, the natural smell of vagina itakuwepo tu sana sana usafi unasaidia tunasema kukata shombo .


Ndimu inakata shombo lkn haiondoi radha ya mboga.
 
Back
Top Bottom