Kwa huyu wala hata cjisumbui Mimi,namwacha coz hajielewi,we unameet na mtu wako kwa Mara yakwanza hufichi hata makucha!!!AendeKwa naye chini mzungumze mkuu, kuwa tuu makini na tafuta namna nzuri ya kumuelezea, atakuelewa na mtaenda kumcheki Dr mtapata tiba nzuri maisha yatasonga mbele.
Umekosea sana kumuanika hapa kabla hujazungumza naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaogopa kua ataachwa akimchana liveSio wadada tubadilike......huyo girlfriend wako kama ananuka sio wote tunanuka......kwani umeshindwa nini kumwambia ukweli kama ananuka au unamuogopa
Kama girlfriend wako ananuka na hauwezi kumwambia abadilike basi pambaneni na hali zenu
Duuuuh nimetokwa na povu aiseee
Mmmh ila kweli kuna wanawake wananuka K balaa yaani mpaka kichwa kinauma aisee kwa harufu inayotoka huko .
Msaidie mkuu, acha kukata tamaa. Hayo yanazungumzika na mambo yanasonga, unless kama ulikuwa unataka kusafisha rungu usepe.Kwa huyu wala hata cjisumbui Mimi,namwacha coz hajielewi,we unameet na mtu wako kwa Mara yakwanza hufichi hata makucha!!!Aende
Kweli mkuu,natural smell ipo but not to that extent.Ninayoizungumzia mm ni kero.Kuna alaf yake natural kbs huwa inaongeza mzuka sana, bt cio kunuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli duniani kuna mengi... Sasa unatiamo kidole halafu unanusa, hilo ni tusi mkuu






Hahahahahahaaaaaa my ribs ndo avumilie tuAnaogopa kua ataachwa akimchana live
Itabidi msela avumilie tuHahahahahahaaaaaa my ribs ndo avumilie tu
Kweli duniani kuna mengi... Sasa unatiamo kidole halafu unanusa, hilo ni tusi mkuu
