Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Sio kweli mkuu,wapo wanaosababishwa na magonjwa lakini wengi hawajui kujisfisha,

Kuna mmoja niliwahi kumchana kistaarabua na akanielewa akawa anajisafisha na ile harufu ikawa kwishnei.
Kumbe unaweza kufanya hivyo eeh, basi jitahidi umweleze na huyu kuliko kuja kuongea huku mbele ya hadhira unawakwaza wengine
 
Mkuu kulikua kuna haja gani ya kuja kumwanika huku kwa nini usiongee nae taratibu labda ana magonjwa huku yanayosababisha anuke kaa na mpenzi ongea nae sio kila kitu uje umwanike
 
Kwa huyu wala hata cjisumbui Mimi,namwacha coz hajielewi,we unameet na mtu wako kwa Mara yakwanza hufichi hata makucha!!!Aende
Na ukimpata mwingine ananuka utaacha wangapi kaa nae chini ongea nae mpeleke akapate tiba
 
Jiwe hilo.Poleeee binti

1.mwanaume wa kweli,ni mjasiri,angemwambia mwanawake hapo hapo.

2.Mwanamme wa kweli,asingeleta mada hii hapa,kuna vitu ukishakua,huwezi ukaviongea hadharani.

utoto unakusumbua,ndio umeanza kufanya ngono,pole weeeeeeeeeeeeeeeee
 
Sio kweli mkuu,wapo wanaosababishwa na magonjwa lakini wengi hawajui kujisfisha,

Kuna mmoja niliwahi kumchana kistaarabua na akanielewa akawa anajisafisha na ile harufu ikawa kwishnei.
Yah ni kweli nako kutojisafisha inaweza ikawa inasababisha but mimi siamini sana........sasa hivi kuna vitu tunaweka huku chini uchafu wote unatoka na unakuwa safi kabisa......
 
Acha ushamba uko sio kunuka ni kunukia....hakuna vagina isiyo nukia....hata hivyo ulivyo nusa ulitaka kusikia nini kama si harufu?
Vagina ordo..
Aisee nilikuwa sijui,kumbe ile harufu kama panya kafa ni kunukia.
 
Kumbe unaweza kufanya hivyo eeh, basi jitahidi umweleze na huyu kuliko kuja kuongea huku mbele ya hadhira unawakwaza wengine
Pole kama nimekukwaza ila tambua wapo wanaonufaika kupitia michano mbele ya hadhara.
 
Habari wanabodi,

Naandika Uzi huru nikiwa na gadhabu kweli.

Unakuta mtu unaomba meeting ww na mpnz wako,mnakubaliana mkutane saa flani.

Muda ukifika dem anakuwa bado hajafika eneo la tikio,unaamua kumcall,honey mbona hujatokea?
Anakukibu sorry nilikuwa naoga.

Akifika eneo la tukio mnaanza majamboz,mara ukipeleka mkono sehem nyeti na kuunusa unakumbana na harufu Kali!!!!

Sasa me huwa najiuliza hivi huyu dem si kachelewa kufika kwasababu anadai alikuwa anaoga?sasa inakuaje mtu alieoga anuke kiasi hiki?au alioga maeneo mengine huku hapahusiki??

Wadada hebu badilikeni,haiwezekani kila kukicha tunawaambia kuhusu usafi sehemu zenu lakini hamuelewi.

Kama vip acheni kuoga kabisa ili tujue kuwa hamuogi,kuliko kujinasibu mnaoga kutwa mara tatu,haliyakuwa bado mnatoa harufu kali!
Mkuu hili ni tatizo baya sana katika mapenzi. Kuna baadhi ya mademu wanaachika sana kwa ajili ya hili tatizo. Mbaya zaidi kumwambia ukweli ni kazi. Kingine ni ukute demu ananuka mdomo ni hatari sana dushe lote lazima lilale hata kama ulikua na mzuka kiasi gani. Lipo swali huwa ninajiuliza ina maana hawa mademu wanakua hawajui kama wana hayo matatizo? Nafikiri wanawake wanaweza kutusaidia kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuoni dear kule ulisema tutaonana naingia sikuoni toka siku hiyo sijaingia tena
Yaan sasahivi sijiwezi mpz, najikuta natoa ahadi hewa. Hata jana nimempromise jirani yangu kichwa kichafu lakini nikashindwa kufika nimekuja kuona asubuhi kaniita mpaka kachoka.
 
Yaan sasahivi sijiwezi mpz, najikuta natoa ahadi hewa. Hata jana nimempromise jirani yangu kichwa kichafu lakini nikashindwa kufika nimekuja kuona asubuhi kaniita mpaka kachoka.
Ahahhahah kwahiyo sasa hivi unawahi sana kulala jaman
 
Nilichogundua anayenuka wala hajitambui na huenda ni maambukizi ya fangasi. Hivyo km ni mpenzio ni vema kuongea ili kuondoa tatizo badala ya kulaumu/kushutumu. Tatizo siku hizi mitandao imekuwa km mahakama, mabaraza n.k
 
Mkuu kulikua kuna haja gani ya kuja kumwanika huku kwa nini usiongee nae taratibu labda ana magonjwa huku yanayosababisha anuke kaa na mpenzi ongea nae sio kila kitu uje umwanike
Hakuanikwa mtu hapa Bali wameongelewa wadada wasijisafisha
 
Back
Top Bottom