ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,682
- 16,254
Yaani suala la baadhi ya akina dada kutoa harufu sehemu zao za siri huwa linanipatia wakati mgumu sana,SIPENDI kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ktk maandalizi wengine nilazima tupitishe mkono kule kunako ili kuongeza hamasa.Unawezaje kuingiza mkono kwenye kitumbua Afu ukanusa
Sent From Mhenga Aliyesema Hasomeshi Wazazi
Wana moyo aiseeUkikutana na dem ananuka papu stimu zote zinakata
Unajikuta unaweka dally kimoko, kisha hamza kalala junior anawasili
Lakini unakuta kuna mwana anafonza hivo hivo( wale wataalam wa kuzama kunako kwa chumvi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaYaani suala la baadhi ya akina dada kutoa harufu sehemu zao za siri huwa linanipatia wakati mgumu sana,SIPENDI kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteh mpz, ila nikiwepo ntakuwa nakuita kama utakuwa machoAhahhh hongera sana
Huoni kama atamfedhehesha dada husika,labda amtumie mdada mwingine amwambie kivingine.Sio wadada tubadilike......huyo girlfriend wako kama ananuka sio wote tunanuka......kwani umeshindwa nini kumwambia ukweli kama ananuka au unamuogopa
Kama girlfriend wako ananuka na hauwezi kumwambia abadilike basi pambaneni na hali zenu
Duuuuh nimetokwa na povu aiseee
Mimi huwa sidate mwanamke mwenye kucha ndefu mikono yote,najiuliza anaoshaje?Habari wanabodi,
Naandika Uzi huru nikiwa na gadhabu kweli.
Unakuta mtu unaomba meeting ww na mpnz wako,mnakubaliana mkutane saa flani.
Muda ukifika dem anakuwa bado hajafika eneo la tikio,unaamua kumcall,honey mbona hujatokea?
Anakukibu sorry nilikuwa naoga.
Akifika eneo la tukio mnaanza majamboz,mara ukipeleka mkono sehem nyeti na kuunusa unakumbana na harufu Kali!!!!
Sasa me huwa najiuliza hivi huyu dem si kachelewa kufika kwasababu anadai alikuwa anaoga?sasa inakuaje mtu alieoga anuke kiasi hiki?au alioga maeneo mengine huku hapahusiki??
Wadada hebu badilikeni,haiwezekani kila kukicha tunawaambia kuhusu usafi sehemu zenu lakini hamuelewi.
Kama vip acheni kuoga kabisa ili tujue kuwa hamuogi,kuliko kujinasibu mnaoga kutwa mara tatu,haliyakuwa bado mnatoa harufu kali!
Kuna siku nilipigwa denda na dem fulani asubuhii tumeamka walahi kama sikuzimia siku hiyo baasi, kwanza nilisikia uchunguu, nikasikia kama vile nimedendwa na Tigo badala ya takoo, sitasahauu






Kweli kabisaMbaya zaidi unakuta dada mwenye MANUKO ya aina hiyo ni MALAYA kweli,mi akina dada wa hivyo nilikua naona watulie na mwanaume mmoja mvumilivu nasio kulala na kila mwanaume kwani hushusha heshima kwao.Wafanye hivyo kama wanaume ambao huwa wanakua hawajatahiriwa,mara nyingi huwa hawalali hovyo na wanawake kwa hofu yakuaibika,vivyo hivyo na wanawake wenye MANUKO waige hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanabodi,
Naandika Uzi huru nikiwa na gadhabu kweli.
Unakuta mtu unaomba meeting ww na mpnz wako,mnakubaliana mkutane saa flani.
Muda ukifika dem anakuwa bado hajafika eneo la tikio,unaamua kumcall,honey mbona hujatokea?
Anakukibu sorry nilikuwa naoga.
Akifika eneo la tukio mnaanza majamboz,mara ukipeleka mkono sehem nyeti na kuunusa unakumbana na harufu Kali!!!!
Sasa me huwa najiuliza hivi huyu dem si kachelewa kufika kwasababu anadai alikuwa anaoga?sasa inakuaje mtu alieoga anuke kiasi hiki?au alioga maeneo mengine huku hapahusiki??
Wadada hebu badilikeni,haiwezekani kila kukicha tunawaambia kuhusu usafi sehemu zenu lakini hamuelewi.
Kama vip acheni kuoga kabisa ili tujue kuwa hamuogi,kuliko kujinasibu mnaoga kutwa mara tatu,haliyakuwa bado mnatoa harufu kali!
Sawa dearAsanteh mpz, ila nikiwepo ntakuwa nakuita kama utakuwa macho