[emoji44] [emoji44][emoji23][emoji23][emoji23]maaana sisi uku tunanukia tuuu so wapambane uko wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa baby wangu uwa ni mkweli kwangu......so na wewe jaribu kuwa mkweli kwa mtu wakoHapo ndipo mnapofeli siku zote,tambua ni ngumu kwa mtu kujitambua anaharufu mwilini make.Au mnataka mpaka muone threads za wanaume zenu kuhusu hii issue ndo mtastuka atii!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bhana.Kiherehere cha pua
Hahahaaaa mi nlishindwaga kula nyama wik nzima kisa kipapaHuwezi amini kuna kipindi vidole vinabaki na harufu kwa siku tatu mfululuzo hata kama umenawa[emoji23] [emoji23]
Muulize Msando aliyekuwa mshauri Wa ACT-wazalendo!Mafuta yapi tenaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]uliingizaa uko dom nin