Habari wanabodi,
Naandika Uzi huru nikiwa na gadhabu kweli.
Unakuta mtu unaomba meeting ww na mpnz wako,mnakubaliana mkutane saa flani.
Muda ukifika dem anakuwa bado hajafika eneo la tikio,unaamua kumcall,honey mbona hujatokea?
Anakukibu sorry nilikuwa naoga.
Akifika eneo la tukio mnaanza majamboz,mara ukipeleka mkono sehem nyeti na kuunusa unakumbana na harufu Kali!!!!
Sasa me huwa najiuliza hivi huyu dem si kachelewa kufika kwasababu anadai alikuwa anaoga?sasa inakuaje mtu alieoga anuke kiasi hiki?au alioga maeneo mengine huku hapahusiki??
Wadada hebu badilikeni,haiwezekani kila kukicha tunawaambia kuhusu usafi sehemu zenu lakini hamuelewi.
Kama vip acheni kuoga kabisa ili tujue kuwa hamuogi,kuliko kujinasibu mnaoga kutwa mara tatu,haliyakuwa bado mnatoa harufu kali!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu mi mpaka natamani nijile mwenyewe😉😉😉
Napita tuu..[emoji23][emoji23][emoji23]maaana sisi uku tunanukia tuuu so wapambane uko wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu,wapo wanaosababishwa na magonjwa lakini wengi hawajui kujisfisha,
Kuna mmoja niliwahi kumchana kistaarabua na akanielewa akawa anajisafisha na ile harufu ikawa kwishnei.
Hapana mkuu
Niliwahi kumuuliza mdada flan kuwa hiv mnazioshaje papuchi zenu mkiwa na mikucha kama hiyo?Mimi huwa sidate mwanamke mwenye kucha ndefu mikono yote,najiuliza anaoshaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
HatareeJoto+ ma**ko makubwa+ kutojitwaza vizuri after kukata gogo= bad & irritating smell
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi amini kuna kipindi vidole vinabaki na harufu kwa siku tatu mfululuzo hata kama umenawa[emoji23] [emoji23]Jaman **** inamnuko mbaya usiombe yakukute unakuta room yote inachafukwa halaf wenyew hawajali
Sent using Jamii Forums mobile app
JiweKwelii kabisaaa anatuambie sisi akati demu wake ndo ananuka sasa apo si tumueleweje apambane na harufu ya demu wake tuu ukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdau alishasema mwanamke mwenye shida hiyo sio kwamba hajaoga ILA MSHAURI ALE MANANASI AU ANYWE JUISI YA MANANASI sio zile za azam, akamue mwenyewe...Habari wanabodi,
Naandika Uzi huru nikiwa na gadhabu kweli.
Unakuta mtu unaomba meeting ww na mpnz wako,mnakubaliana mkutane saa flani.
Muda ukifika dem anakuwa bado hajafika eneo la tikio,unaamua kumcall,honey mbona hujatokea?
Anakukibu sorry nilikuwa naoga.
Akifika eneo la tukio mnaanza majamboz,mara ukipeleka mkono sehem nyeti na kuunusa unakumbana na harufu Kali!!!!
Sasa me huwa najiuliza hivi huyu dem si kachelewa kufika kwasababu anadai alikuwa anaoga?sasa inakuaje mtu alieoga anuke kiasi hiki?au alioga maeneo mengine huku hapahusiki??
Wadada hebu badilikeni,haiwezekani kila kukicha tunawaambia kuhusu usafi sehemu zenu lakini hamuelewi.
Kama vip acheni kuoga kabisa ili tujue kuwa hamuogi,kuliko kujinasibu mnaoga kutwa mara tatu,haliyakuwa bado mnatoa harufu kali!
Hapo ndipo mnapofeli siku zote,tambua ni ngumu kwa mtu kujitambua anaharufu mwilini make.Au mnataka mpaka muone threads za wanaume zenu kuhusu hii issue ndo mtastuka atii!!Hahahahahahahaaaaaaaaa inabidi aongee na girlfriend wake sisi haituhusu