Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Pole kama nimekukwaza ila tambua wapo wanaonufaika kupitia michano mbele ya hadhara.
Binafsi sijakwazika
Ila ungejitahidi uongee na mtu wako utakuwa umemsaidia sana kuliko kuja kumsema huku ila kama na yeye yupo humu haina shida.
 
Kunuka kwa asilimia kubwa ni magonjwa ya zinaa , uka kuna kunuka kwengine kuna sababishwa
Na imbalance of the bacteria that are normally present in the vagina
Au wanaita vaginosis kuna bacteria wazuri na wabaya kwenye vigina wale wazuri huwa wana control wale wabaya sasa ikiwa wabaya ndio wanazidi na Ku control wazuri kuna harufu ambayo ata kuielezea hakuna kugha ya kutumia

Maana ni panya kaoza + shombo samaki + kingine chohote kinacho nuka kupindukia


spensa_e
 
1.mwanaume wa kweli,ni mjasiri,angemwambia mwanawake hapo hapo.

2.Mwanamme wa kweli,asingeleta mada hii hapa,kuna vitu ukishakua,huwezi ukaviongea hadharani.

utoto unakusumbua,ndio umeanza kufanya ngono,pole weeeeeeeeeeeeeeeee
Pole yako ww pamoja utuuzima wote,unasubiri uambiwe na mwanaume kuhusu jinsi ya kutunza sehemu zako nyeti!!!

Mbona kujipodoa usoni hamuambiwi?Iweje kusafisha kiungo chako mwenywe usubiri mpaka uambiwe?
 
Yah ni kweli nako kutojisafisha inaweza ikawa inasababisha but mimi siamini sana........sasa hivi kuna vitu tunaweka huku chini uchafu wote unatoka na unakuwa safi kabisa......
Wakati mwengine hivyo vitu mnavyoweka ndio vinawaponza .
 
Pole yako ww pamoja utuuzima wote,unasubiri uambiwe na mwanaume kuhusu jinsi ya kutunza sehemu zako nyeti!!!

Mbona kujipodoa usoni hamuambiwi?Iweje kusafisha kiungo chako mwenywe usubiri mpaka uambiwe?

pole nimeburst your buble,eti ukanisa kidole,hahaaaaaaaaaa ukikua kidogo,utajiona ulivyo mjinga.
 
Mkuu hili ni tatizo baya sana katika mapenzi. Kuna baadhi ya mademu wanaachika sana kwa ajili ya hili tatizo. Mbaya zaidi kumwambia ukweli ni kazi. Kingine ni ukute demu ananuka mdomo ni hatari sana dushe lote lazima lilale hata kama ulikua na mzuka kiasi gani. Lipo swali huwa ninajiuliza ina maana hawa mademu wanakua hawajui kama wana hayo matatizo? Nafikiri wanawake wanaweza kutusaidia kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeongea vzr sana,tatizo lao wabishi kuelewa.Hawajiulizi nikwann wapinapigwa chini bila sababu!!!
 
Unawezaje kuingiza mkono kwenye kitumbua Afu ukanusa

Sent From Mhenga Aliyesema Hasomeshi Wazazi
 
Wakati mwengine hivyo vitu mnavyoweka ndio vinawaponza .
Sio vinawekwa kila siku ni mara chache......that's why mi naweza kusema kunuka huko kunatokana na mtu na mtu.........unaweza ukakesha unajisafisha na bado ukanuka na unaweza ukaweka hicho na vile vile ukaendelea kutoa harufu......so sijui zaidi ya hapo
 
Ukikutana na dem ananuka papu stimu zote zinakata

Unajikuta unaweka dally kimoko, kisha hamza kalala junior anawasili

Lakini unakuta kuna mwana anafonza hivo hivo( wale wataalam wa kuzama kunako kwa chumvi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole ndugu, mpeleke hospital atakuwa na infections

Kada wa kwenye CCM mpya
 
Aicee mada kuhusu hili suala limejadiliwa sana humu.
 
Nilichogundua anayenuka wala hajitambui na huenda ni maambukizi ya fangasi. Hivyo km ni mpenzio ni vema kuongea ili kuondoa tatizo badala ya kulaumu/kushutumu. Tatizo siku hizi mitandao imekuwa km mahakama, mabaraza n.k
Sawa mkuu
 
Kunuka kwa asilimia kubwa ni magonjwa ya zinaa , uka kuna kunuka kwengine kuna sababishwa
Na imbalance of the bacteria that are normally present in the vagina
Au wanaita vaginosis kuna bacteria wazuri na wabaya kwenye vigina wale wazuri huwa wana control wale wabaya sasa ikiwa wabaya ndio wanazidi na Ku control wazuri kuna harufu ambayo ata kuielezea hakuna kugha ya kutumia

Maana ni panya kaoza + shombo samaki + kingine chohote kinacho nuka kupindukia


spensa_e
Mkuu hongera kwakutuelewesha japo umenifanya nicheke kwa sauti hapa Mara baadae yakusoma hup mstari wa kunuka kupindukia
 
pole nimeburst your buble,eti ukanisa kidole,hahaaaaaaaaaa ukikua kidogo,utajiona ulivyo mjinga.
Hii mada inakuhusu sana inaonekana ww ndio muhusika mkuu.Pole kwakupigwa chini na wale Jamaa kisa mnuko.

Jiongeze muda unaruhusu.
 
Back
Top Bottom