Chereko tena
JF-Expert Member
- Dec 9, 2019
- 469
- 520
Wenye uzoefu wa maisha mkuuSijakuelewa hapo kwenye experienced people.. Una maanisha experience kwenye kupiga mizinga au kwenye nini
Wenye uzoefu wa maisha mkuuSijakuelewa hapo kwenye experienced people.. Una maanisha experience kwenye kupiga mizinga au kwenye nini
😂😂 Hiyo dozi lazma mtu ufe mapema usipojiongeza na kusepa..Wife material huyo usimwache mkuu,yaani mtu unayempenda huwezi mpiga vizinga ni kama huruma inakujia hivi, ila wale wasumbufu na huna mpango nao ebana eeh unaanza asubuhi akikusalimia tu unamwambia huna hela ya breakfast, mchana unamwambia unataka kwenda saloon huna pesa, jioni tena dinner yaani dozi inaitwa kutwa mara 3 ,7 days a week😀😀 ( nimeongea tu sipo kwenye hili kundi please)
Kumuomba bwana wako chakula wakati hajakuoa ni aibu kubwa sio kwako tu hata familiaAcha kulalama toa pesa mkuu, hadi hela ya vocha,chakula unaona big deal kutoa aisee,kwa ubahili huo, watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji tu.
Na ndyo lengo hasa kumfukuza usiyemtaka, akiwa king'ang'anizi sasa shauri yake atauza hadi nyumba ya urithi.😀😀😂😂 Hiyo dozi lazma mtu ufe mapema usipojiongeza na kusepa..
Kuna mizinga mingine ni ya kukufukuza.. Dah wanawake mna mbinu za kutufukuza hahahaha.. Unakuta mtu anakupa heavy bills izo wakati anajua kipato chako
😂😂 wanawake wote peponi aisee
Ni kweli lakini si kila mtu anaishi home kwa wazazi kwamba uhakika wa kula, kuna walioanza kujitegemea kukwama hela ya chakula sometimes huwa inatokea na boyfriend anaweza kukupiga tafu kidogo. All in all kuomba omba pesa si kuzuri sana unajichora tu.Kumuomba bwana wako chakula wakati hajakuoa ni aibu kubwa sio kwako tu hata familia
Nimeipenda hiyo mkuiGMS au sio😀😀
nilijua "ke" nizame pm faster
Ohoo, usije zama pm ya kidume mwenzio.
Aisee mababu walikuwa wanafaidi mema ya nchi ndio maana wameishi maisha marefu sana”Papuchi haiuzwi wala haipewi bure”.
Hii teknolojia ya TigoPesa sijui M-Pesa sijui ATM imekuja kuharibu muktadha wa mapenzi, imekuwa rahisi sana kuombwa-ombwa hela.... ni aibu kwa binti kuomba hela ‘laivu’ so mababu walifaidi enzi zao.
Ukipewa utawezana.?
😀😀😀Huko piemu na ‘kibamia’ utawezana.?
naam, na sasa ni rahisi kuwagundua.....Wapo wengi
ishi nao kwa akili, unaweza kubahatika, lakini ujue mguu wako unaonzia nao ndio anauchukulia.... kuwa makiniYani huku kaka Kila mtu alishakuwa mfanya biashara.. Inabidi twende nao hivyo hivyo
Itabidi na Mimi nifanye hivyoNdiomaana mi napenda kujua terms mapema sana nauliza ni dau sema na Kama kibindamu pia sema na useme minimum posho ambayo kwako iko kiroho safi na usinibanie muda 3+,4+ chini ya hapo no
Itabidi na Mimi nifanye hivyo
Jamani umenichekesha, amekutana na kisanga gani asee
ndio wamejaaa.... akili kichwaniWapo wengi