Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Ninaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.
Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.
Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.
Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.
Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.
Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.
Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.
Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.