KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,081
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania
kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
umetumwa na ccm?Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania
kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania
kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
nimeipenda hii 🙂Wewe huna akili timamu. Tena umenunuliwa na CCM, NA MAFISADI. Umeuza thamani ya utu wako kwa fedha. Heri toilet paper ina kazi kuliko wewe.
ushahidi wa kuonesha kuwa chadema viongozi wao si wapenda amani hii ni kauli ya katibu mkuu wao dr slaa ilionukuliwa kwenye gazeti la mwananchi
"tumevumilia sana, sasa inatosha...tunataka serikali ya kikwete isitawalike tena kwani haki hakuna... Tunaomba jumuiya za kimataifa zituelewe...uchaguzi uliopita matokeo yalichakachuliwa tulikaa kimya, lakini sasa basi,"alisema dk slaa.
source: dk slaa atangaza maandamano nchi nzima
kwa kauli kama hizi kukiacha chama hiki ni kulea kwa makusdi uvunjifu wa amani
USHAHIDI WA KUONESHA KUWA CHADEMA VIONGOZI WAO SI WAPENDA AMANI HII NI KAULI YA KATIBU MKUU WAO DR SLAA ILIONUKULIWA KWENYE GAZETI LA MWANANCHI
"Tumevumilia sana, sasa inatosha...tunataka serikali ya Kikwete isitawalike tena kwani haki hakuna... Tunaomba Jumuiya za Kimataifa zituelewe...Uchaguzi uliopita matokeo yalichakachuliwa tulikaa kimya, lakini sasa basi,"alisema Dk Slaa.
SOURCE: Dk Slaa atangaza maandamano nchi nzima
KWA KAULI KAMA HIZI KUKIACHA CHAMA HIKI NI KULEA KWA MAKUSDI UVUNJIFU WA AMANI
Mawazo ya kukifuta chama cha ukombozi wa watanganyika kama Chadema ni mawazo mgando. Chadema ndicho chama pekee cha kweli cha ukombozi kwa mdanganyika aliyechoshwa kuonewa na kunyanyaswa na umaskini, maradhi, na ujinga. Miaka 50 baada ya uhuru hakuna matumaini, kila siku ni afadhali ya jana. Watanganyika embu tuamke. Mabadiliko ya kweli hayaji hivi hivi kwa urahisi tu, ETI KWA KUKAA MEZANI KUZUNGUMZA. TUZUNGUMZE NINI WAKATI WEWE UNANIIBIA NA KUNIDHULUMU HAKI YANGU? Ni lazima wakati ukifika udai haki yako bila ya kuogopa virungu vya polisi. Arusha wameonyesha mfano mzuri sana, wamedai haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuandamana na kufanya mkutano tena wakiwa na kibali. Tukumbuke, mabadiliko yoyote yale yana gharama, na wanachadema na wapenda maendeleo ya nchi yao wamekubali kubeba gharama hiyo kama tulivyoona jana huko Arusha. EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE.:A S-devil1::A S-confused1::help::bump::flame:😛eep:
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania
kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
Tutaanza kukufuta kwanza kabla ya kukifuta CHADEMA!Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania
kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
Jina lenyewe tu linaonyesha unashinda siku nzima na kikoi
kwanza elewa hakuna chama kilichosajiliwa kwa kutetea eneo au ujimbo kwa hio kama chadema inapambana kwa ajili ya Tanganyika nalo ni moja ya agizo walilolikiuka na wanatakiwa wafutiwe usajili.
jengine kudai haki bila ya kufata njia zake ni sawa na kuliamuru jahazi kutembea nchi kavu