Ni bora CHADEMA ife kuliko kuvuliwa uanachama

Ni bora CHADEMA ife kuliko kuvuliwa uanachama

Status
Not open for further replies.
ccm kwa kurukia mada, ila sala zenu za kuitakia mema CDM zinasikilizwa, ccm chali
 
kweli huyu msaliti kajiweka uchi anasema "wapinzani hawafai kupewa nchi" sasa mbon anang'ang'ania upinzani? Siaende huko wanakostahili kutawala milele?
Hapo kwenye nyukundu hapo! ni maneno tosha yanayozihilisha kwamba huyu jamaa alikuwa anatumiwa na CCM kuivuruga CHADEMA, maana anaposema "wapinzani hawafai kupewa nchi" maana yake ni kwamba si CHADEMA pekee, bali na CUF, NCCR Mageuzi, DP, na vingine vingi! kumbukeni kuna Mtanganyika mmoja alisema ZZK na Kafulila wametumwa kuharibu upinzani! si mnaona yanayotokea?
 
ukingo wa siasa wa zito unakaribia, najua moyoni anajuta, uwa nasema kila siku kama yeye anaona kuwa ana kubalika na ana wafuasi wengi kwanini asianzishe chama chake atoke cdm awaache na udini na ukabila wao? vitu vingine ni vya kufikiria tu, ila cha kushangaza eti anakimbilia mahakamani wasimjadili, mimi nilifikiri ndio ilikuwa njia yake rahisi kuondoka, yeye bawe M.kiti huko milele, msemaji wa chama awe Mchange, ingesaidia pia kuwakomboa wananchi kwa fikra na sera za chama chao kipya. ni muda sasa wa kulimaliza ili jambo na nchi iendelee na shughuli za uzalishaji kuliko kuwakusanya vijana mahakama kuu wakipiga mayowe halafu tunasema pesa hakuna.
 
Msimamo wa Zitto naukubali. Kwani hata hao waliobaki si wasafi. Kama kuondoka na waondoke akina Mbowe na Slaa ambao wamenajisi chama

Ili Chama kife? Una pepo la usaliti au umefanana tu.
 
CCM chukueni mbunge wenu wa facebook a.k.a.k.a.k.a mzee wa mahakama, alidhani CDM inatania mda flani akawa anakuwa kama anajutia oh mara ikarudi sasa huyooo mkaribisheni na vigelegele sie chama tumemaliza kabaki yeye na mahakama yake.
 
kama kuondoka waondoke wote kuanzia Padre mzinzi Slaa mpaka malaya asie na aibu Mbowe
 
Msimamo wa Zitto naukubali. Kwani hata hao waliobaki si wasafi. Kama kuondoka na waondoke akina Mbowe na Slaa ambao wamenajisi chama

Nakuuliza hivi wewe liccm!Viongozi wa CHADEMA na maamuzi ya CHADEMA yanakuhusu nini?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Naichukia chadema hata ukinipa bure siwezi kuichukua. Nawashangaa kama akina Zitto wanajipendekeza. Hili chama la kichaga bora life tu. halina faida kwa ustawi wa taifa hili. Chama gani lina wafuasi misukule?

Hukupendi lakini unakitaja mara nyingi kuliko chama chako unachokipenda.
 
kama kuondoka waondoke wote kuanzia Padre mzinzi Slaa mpaka malaya asie na aibu Mbowe

Hayo mambo peleka kwa yule profesa al haji mbakaji kapuya! mtaweweseka lakn CDM ipo na wasaliti wote kwishinei! mwingine ndo huyo kabaki analilia posho zake mahakamani!
 
Ccm wametimiza adhima yao na zzk amejitia aibu kubwa sana. Pole zzk ulilewa sifa sasa umekinywea

This dude (ZZK) makes me sick to death!

He think he is bigger than the party.

I've never seen a double agent lived a happier life under this sun. Soon CCM will burn his ass to hell.
 
kama kuondoka waondoke wote kuanzia Padre mzinzi Slaa mpaka malaya asie na aibu Mbowe

R.I.P MM na waliokutuma na kukutegemea wajipange upya,nimemskia mmoja akidai kuwa cdm itakufa 2015 baada ya kuona wewe waliyekutegemea umefukuzwa!
 
Haya ni mawazo ya kila asiye na mapenzi kwa nchi yake,
Nchi inayosaka mabadiliko ya kweli,
nchi ambayo wananchi wake wana umasikini uliokidhiri,
nchi ambayo wananchi wake wanauwawa na wengine kuteswa bila hatia kwa sababu ya kudai haki zao,

Haya yyote yametokea na tumeyashuhudia,
Ila wapo watanzania ambao wako tayari kulinda maslahi yao si wa umma.

LAZIMA WAMETUMWA...
Si rahisi kwa mzalendo wa nchi hii na anayejua ni namna gani watu wametoa sadaka uhai wao ili kuipigania Tanzania
HAIWEZEKANI...

Eti sitaondoka kama walivyofanya wengine, NI KWELI usiondoke ila amini tu kwamba hakuna mpango wako wowote utakaoukamilisha, mwombe MUNGU sana, kuna damu inakulilia, msaliti usiye na hata chembe ya huruma kwa wahangaikao, Kiongozi unayedhani ni wewe tu mwenye mawazo mbadala ya kuikomboa Tanzania .

CHADEMA NI IMARA KULIKO UIMARA WENYEWE..
POLENI SANA WASALITI..
POLE SANA WADHAMINI WA WASALITI..
HAKUNA WA KUUZIMA MOTO HUU..
MLIZOEA VYA KUNYONGWA MJIOKOTEE.

WALAANIWE WOTE WENYE NJAMA ZA KUIVURUGA CHADEMA.
NA WALAANIWE WOTE WASIOITAKIA MEMA TANZANIA.



Ni kwa mapenzi hayohayo kwa nchi, ni kwa kiu hiyohiyo ya mabadiliko, ni kwa nia hiyohiyo ya kuifikia Tanzania bora na yenye neema, njia mbadala zipo nyingi si moja au mbili tu, we have a common destination, acheni fikra huru zichanue, msifunge wengine midomo ya kusema na minyororo mikononi na miguuni. Ukiamini katika mabadiliko basi tambua hata ndani ya nyumba yako kuna wakati itabidi uruhusu mabadiliko. Hatuwezi kutegemea matokeo tofauti kwa njia zilezile kutoka kwa watu walewale, Charity begins at home!
Na mwisho, hatutatoa nchi yetu kwa fisi kwa sababu tu tumewachoka mbwa mwitu, bado tutawatafuta na kuwatia nguvu wenye nia njema na halisi ya kuitoa Tanzania mahali ilipo kuipeleka tunapopataka.
I believe in Change, I practice my Belief!
 
Ni wapi uchafu uliondolewa kwa ukuweka uchafu mwingine? Tunaondoa uchafu kwa kuufagia ili tubaki wasafi! Ww subiri tu kama kuna uchafu umebaki utajidhiri tu muda si mrefu na tutauondoa tu!! Napita mwana.
 
Naichukia chadema hata ukinipa bure siwezi kuichukua. Nawashangaa kama akina Zitto wanajipendekeza. Hili chama la kichaga bora life tu. halina faida kwa ustawi wa taifa hili. Chama gani lina wafuasi misukule?
Msukule baba ako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom