Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,193
- 5,123
Habari za leo wakuu?
As regard with the heading above, ninapenda kuulizia ni benki zipi zinaweza wasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu, mikopo ya ada tu (tuition fees), ili kufanikisha upatikanaji wa elimu kwa mlengwa?
At any interest rate and which can be paid after completion of studies, maana kuna wanafunzi wa Vyuo Vikuu kadhaa wamekosa mikopo kutoka Bodi ya Mikopo (HESLB), shida kubwa kwao wanahitaji elimu. Tatizo linalokuja wao ni kukosa tuition fees.
Naombeni ushauri wenu.
Asanteni kwa kunisikiliza na karibuni.
As regard with the heading above, ninapenda kuulizia ni benki zipi zinaweza wasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu, mikopo ya ada tu (tuition fees), ili kufanikisha upatikanaji wa elimu kwa mlengwa?
At any interest rate and which can be paid after completion of studies, maana kuna wanafunzi wa Vyuo Vikuu kadhaa wamekosa mikopo kutoka Bodi ya Mikopo (HESLB), shida kubwa kwao wanahitaji elimu. Tatizo linalokuja wao ni kukosa tuition fees.
Naombeni ushauri wenu.
Asanteni kwa kunisikiliza na karibuni.