Ni AVATAR gani inakupendezea

Ni AVATAR gani inakupendezea

son,be a good boy umshukuru mkeo mwenyewe. (hata kama huipendi avatar yake muambie unaipenda ili siku unataka aibadili iwe rahisi kumuimbisha eeh)

mamkwe shkamoo!. Endelea hvyo hivyo kumfundisha mwanao maadili hata kama ana ndevu na mvi za kutosha. .
 
AVATAR YAKO MAZEEEE.. TAH! TIH! TOH! TEH! KEH! BAH! jamani mbavu zangu.. Pah! ha ha haaaaaaaaaa.. kwih! kwih!!

nashangaa hii Avatar yangu hujaiweka katika top ten hebu rekabisha hapo mama.
 
Jamani avatar ya Bujibuji....inaendana na post zake kabisa....!
 
Mi naipenda avatar yangu kwa kuwa ni picha yangu halisi aliyonipiga babu yangu Mtuweta mwaka 1941.
 
..Siongezi neno.

wala hapana atayekugombeza.. jikalie kimya mwanetu.. sayansi yabadilika.. avatar za jana si za leo.. embu cheki hii ilivyotulia.. tiqo.JPG
 
Mi naipenda avatar yangu kwa kuwa ni picha yangu halisi aliyonipiga babu yangu Mtuweta mwaka 1941.

Kwamba 1941 Laptop viao ya Version gani iliyokuwepo? embu tueleze.. manake kama unataka bidhaa ya uongo njoo bongo.. maduka ya kumwaga..watu waongo kupindukia.. mtu anaongopa huku jicho kalitoa.. kavu kabisa.. asee!! we bwabwaja uongo tu ukirudi hom utakuta kameshaikojolea.. si unajua mkojo wa mtoto una-format program zooote.. tuone kama JF utaipata hewani tena.. mpaka ukajirundike Cafe.. mbona utakoma..
 
Lol..Manyanza!!
Kwanini inakukera? Jifunze kuipenda tu plzz! Wenzako walikuwa hawaiprndi but now ni their favourite

hahaa haaa mbona umejishitukia mkuu kwani hii ni avatar yako pia??
kwikwiii kwikii
 
hahaa haaa mbona umejishitukia mkuu kwani hii ni avatar yako pia??
kwikwiii kwikii
We Manyanza mchokozi heeee, JF hata kama ulikuwa hutaki kucheka utachekawenyewe tuu!!!!!!!!!!!! Umenivunja mbavu!!!!
 
Kwamba 1941 Laptop viao ya Version gani iliyokuwepo? embu tueleze.. manake kama unataka bidhaa ya uongo njoo bongo.. maduka ya kumwaga..watu waongo kupindukia.. mtu anaongopa huku jicho kalitoa.. kavu kabisa.. asee!! we bwabwaja uongo tu ukirudi hom utakuta kameshaikojolea.. si unajua mkojo wa mtoto una-format program zooote.. tuone kama JF utaipata hewani tena.. mpaka ukajirundike Cafe.. mbona utakoma..
Hiyo ilikuwa inaitwa Iribini version 2. Ilikuwa inatumia betri za National Panasonic au Philips tu. Haikuwa na hard disk, soft disk yake memory ilikuwa 100Bites. Ukitaka kusurf internet ilikuwa lazima uwasiliane na Radio Tanzania ili wazime mtambo wao wa SW......
 
Back
Top Bottom