embu nijuze .. ndoano na nyavu zilifanyaje..
Ndio maana nikaoa kwenu...:eyebrows:
kuna threads kama laki na arobaini alf za avatars aisee
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/95754-vote-for-your-best-avatar-in-jf.html
na hiyo hapo tena
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/167746-avatar-nizipendazo.html
na hiyo https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/58089-avatar-ninazozikubali-jf.html
na kadhalika
hujapotea njia hata kidogo.
Na mwisho wa safari umeishia kwenu.
Ulivoona napita bila kuchangia ukaniona mjinga siyo? Ya nini kujichosha bure wakati ndio kwaanza nimezaliwa leo!.. Unalo bibie!ahsanteee mtm.
Ulivoona napita bila kuchangia ukaniona mjinga siyo? Ya nini kujichosha bure wakati ndio kwaanza nimezaliwa leo!.. Unalo bibie!
kuna threads kama laki na arobaini alf za avatars aisee
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/95754-vote-for-your-best-avatar-in-jf.html
na hiyo hapo tena
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/167746-avatar-nizipendazo.html
na hiyo https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/58089-avatar-ninazozikubali-jf.html
na kadhalika
Awe klorokwini ndo ntaelewa vizuri.khaaa! Jamani haka katoto kana kipaji ka kuimba taarabu.
Ngoja nitafute sponsors.
ila usimvunje viungo mdogo wangu.
Awe klorokwini ndo ntaelewa vizuri.
Labda unipe idadi ya kutokumvunja maana nimeshavuka 50....
vin diesel huyo hapo anacheua yuro anajamba pound. Jipendekeze akudhamini.
Mimi napenda avatar za watu wooote! Naona kila mtu anaweka avatar anayoona inaendana na mawazo yake.
Bora useme wewe!Mie ni given...anatafuta wadhamini wadogo wadogo...si wajua ndoo na vidumu..
kuna threads kama laki na arobaini alf za avatars aisee
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/95754-vote-for-your-best-avatar-in-jf.html
na hiyo hapo tena
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/167746-avatar-nizipendazo.html
na hiyo https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/58089-avatar-ninazozikubali-jf.html
na kadhalika