Mimi avatar nizipendazo ni za Husninyo na Vivian.
asiyeipenda avatar yangu atakuwa mchawi. Hivi nilikwambia kama yako naipenda?
Subiri mama mkwe na shem wakipita watakushukuru kwa niaba yangu.asiyeipenda avatar yangu atakuwa mchawi. Hivi nilikwambia kama yako naipenda?
Magazijuto...
Subiri mama mkwe na shem wakipita watakushukuru kwa niaba yangu.
Mimi napenda yangu!
naipenda ya the boss,the finest,saint ivuga,preta
Unajua neno saint ni waheshimiwa sana wa dini, sasa avatar yake inaonyesha chekibob flan vile.. naona kama haijakaa sawa sana..
Aisee..Husninyo na Uporoto Mnanchekesha kweli...lol
Aisee..Husninyo na Uporoto Mnanchekesha kweli...lol
Kaizer.. najiuliza.. Hivi wanao wakiona Avatar yako utawajengea picha gani?
Mie ningeipenda sana avatar yako kama ingekuwa na stara njema kama uzuri wa jina lako(SALMA).sawa.. ni mtazamo tu