Ni AVATAR gani inakupendezea

Ni AVATAR gani inakupendezea

Mie inanipendeza sana zifuatazo;
(a) Hii hapa inaashiria kuwa huyu jamaa kachoka kubiwa simu, au either ni tahadhari kajiwekea kutokana na mazingira yanayomzunguka kujaa vibaka/waizi.
avatar16259_2.gif


(b)Hii hapa inatujuza kuwa Bush,Sakorzy, Clinton pamoja na viongozi wengine wa western lao ni moja tuu.. dhamira moja katika sura tofauti.
avatar51954_1.gif


(c) Hii inaonesha umuhimu wa mazoezi...just imagine umeamka unamkuta huyu paka mbele yako
avatar37418_2.gif


(d) Kuna mwana(dada/mama) anaitwa FaizaFoxy ananihusudisha sana na avatar yake (I like it)
avatar43551_2.gif


(e) Wengine naendelea kuwacheki....(huenda ikawa ni wewe)..
 
Hili neno,jina,''avatar'' halitumiki vizuri katika hii computer business. Avatar ni mtu kama prophet ambaye ni sent by Heaven to help humanity when the human species is threatened by something. Kwa mfano Babaji ni Avatar. Ganesh pia inadhaniwa ni Avatar. Avatar ni mtu ambaye anaishi muda mrefu,to be precise,Avatar ni mtu ambaye anaishi muda mrefu.
 
Hili neno,jina,''avatar'' halitumiki vizuri katika hii computer business. Avatar ni mtu kama prophet ambaye ni sent by Heaven to help humanity when the human species is threatened by something. Kwa mfano Babaji ni Avatar. Ganesh pia inadhaniwa ni Avatar. Avatar ni mtu ambaye anaishi muda mrefu,to be precise,Avatar ni mtu ambaye anaishi muda mrefu.

kagoogle tena mshkaji.
 
Hiyo ilikuwa inaitwa Iribini version 2. Ilikuwa inatumia betri za National Panasonic au Philips tu. Haikuwa na hard disk, soft disk yake memory ilikuwa 100Bites. Ukitaka kusurf internet ilikuwa lazima uwasiliane na Radio Tanzania ili wazime mtambo wao wa SW......

pah kwe pah.. jamani mbona mnaniangaia tu badala ya kunipatia msaada.. hamuoni huyu jamaa anavyonivunja mbavu.. pah ha.. kwiiii..kwii
 



Mimi hizi avatar mbili huwa nazipenda sana ila vile vile kuna kitu huwa nahisi kwa hawa member wawili ila basi tu ngoja nikae kimya

Ukimiminiwa mingumi sie hatumo.. si kuna yule ameweka threads kali kabisa eti mtu akijaribu kukoment mbovu kwa nanii wake aliyempata humu humu jamvini eti atammiminia sinia la acid.. mh
 
mi naipenda ya kwako

gango 2.. kweli vile nikupe miushauri ya bure.. Hivi avatar kama hii unaipendea nini hasa.. ukishabofya na ku-log-in, msura kama huu unatokea.. hivi huogopi? au mwenzetu mindoto ya kutishatisha ushaizoea kwa saaana...
 
Mie inanipendeza sana zifuatazo;


(c) Hii inaonesha umuhimu wa mazoezi...just imagine umeamka unamkuta huyu paka mbele yako
avatar37418_2.gif


..

Nimekubali.. hata signature yako naikubali pia.. hauna kulala mpaka kieleweke!!
 
<a href="https://www.jamiiforums.com/members/the-finest.html" target="_blank"> <img src="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar24628_11.gif" border="0" alt=""> </a><a href="https://www.jamiiforums.com/members/afrodenzi.html" target="_blank"> <img src="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar29954_20.gif" border="0" alt=""> <br>
</a><br>
<br>
Mimi hizi avatar mbili huwa nazipenda sana ila vile vile kuna kitu huwa nahisi kwa hawa member wawili ila basi tu ngoja nikae kimya
Wala hujakosea mkuu, muda si mrefu wenzio tutakula pilau na bia nyiiiiiingi!<br>
<br>
pah kwe pah.. jamani mbona mnaniangaia tu badala ya kunipatia msaada.. hamuoni huyu jamaa anavyonivunja mbavu.. pah ha.. kwiiii..kwii
Sasa hapo unanicheka mimi, kalaputopu kangu au Avatar yangu? BTW leo sichaji kiingilio, next time ukicheka lazima unilipe....... Niko huku Igunga nafanya tasmini ya uchakachuaji wa kura. Ntakurushia matokeo ya tasmini yangu. <br>
<br>
Angalizo: Kama uko kwa Jakaya, nakushauri utumie modem ya Voda (Hii ina kinga ya ufisadi) manake nikikurushia news na haka kalaputopu kangu afu ukaingia mtandaoni kwa modem ya tiGo, kakompyuta kako lazima kakolapsi, Ya Zantel skriin itakuwa nyeusi, Ya Airtel kakompyuta kako katazimika baada ya kuzidiwa na virusi vyenye bakteria, Ya Sasatel TANESCO watakata kaumeme kao.
 
Back
Top Bottom