Kabisa, ni upendeleo wa wazi wazi.Kwenye hizo nafasi Zanzibar wamepewa a whopping figure ya 21% ukilinganisha na polpulation yao ya only 3% of URT population.
Hapana mkuu, Zanzibar ni nchi inabidi iheshimiwe kama nchi.
View attachment 1986349
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.
Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,
230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo
Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
Halafu mtanganyika haruhusiwi kufanya kazi Zanzibar na wao ka nchi hawafiki milion tatu huu muungano una walakini
Upendeleo upi??Hata hivyo wamependelewa sana, walitakiwa kupata nafasi 27 tu, Na bara wapate 1,070. Kumbuka ZNZ wako roughly 1.5m while Bara wako 60m.
Kwani huwezi kuwa na sheria mbovu? Mbona wewe umeomba nafasi ziongezwe, ulikuwa unataka sheria ipi ibadirishwe? Kwanini mwingine asiombe nafasi zipunguzwe?Upendeleo upi??
Hizi no sheria za Muungano mkuu miaka nenda rudi
ukisema hivi, manake itabidi ipewe 50% mkuuHapana mkuu, Zanzibar ni nchi inabidi iheshimiwe kama nchi.
Huu muungano una siri kubwa, nyerere alishasaini mikataba...inshort siku tukiachana na Zanzibar kesho yake Oman wanatia kambi kuitawala na inakuwa New york ya East AfrikaHalafu mtanganyika haruhusiwi kufanya kazi Zanzibar na wao ka nchi hawafiki milion tatu huu muungano una walakini
Muuungano au uchafu huuuHalafu mtanganyika haruhusiwi kufanya kazi Zanzibar na wao ka nchi hawafiki milion tatu huu muungano una walakini
Halafu wao ni wabaguzi sana na wakija huku Tanganyika wanakula mema ya nchi tu ila ndio vinara wakulalamika
Kuna mzanzibari anaijua Tanzania kweli? Ikiwa mnaijua Tanzania. Leseni ya udereva imeandikwa JMT lakini haitakiwi kutumika znz, unakamatwa na askari aliyevaa nembo ya Jamhuri ya muungano wa Tz.
Ukiiuliza unaambiwa si suala la kimuungano. Huu muungano unawanyonya wabara tu. Mzanzibari kujenga nyumba bara si hoja lkn mbara kujenga nyumba zanzibar ni habari.
Mzanzibari kumiliki duka la vileo ni halali lakini kwa mbara zanzibar ni nchi ya kiislam. Aisee nyie mimi nawachukia sana kwa sababu ni wabaguzi kuliko kawa
21% ndogo, ilibidi iwe 50 kwa 50Kwani Wazanzibari ni asilimia ngapi ya Watanganyika kwa idadi yao.
Hata hizo 21% ni nyingi mno mnapaswa kuwa na Shukrani.