Ni asilimia 21 tu zitaenda kwa Wazanzibari katika Nafasi 1,097 za kazi kutoka TRA, marekebisho yanahitajika

Kwenye hizo nafasi Zanzibar wamepewa a whopping figure ya 21% ukilinganisha na polpulation yao ya only 3% of URT population.
 
Kwenye hizo nafasi Zanzibar wamepewa a whopping figure ya 21% ukilinganisha na polpulation yao ya only 3% of URT population.
 
Hata hivyo wamependelewa sana, walitakiwa kupata nafasi 27 tu, Na bara wapate 1,070. Kumbuka ZNZ wako roughly 1.5m while Bara wako 60m.
 
View attachment 1986349

Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.

Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,

230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo

Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.


Asilimia 21% ya Watanzania ni 12,600,000 sasa Wanzanzibar ni wangapi? Huu ni upendeleo mkubwa sana.
 
Halafu mtanganyika haruhusiwi kufanya kazi Zanzibar na wao ka nchi hawafiki milion tatu huu muungano una walakini


Usizungumze kitu huna uhakika nacho

Nna Ndugu zangu wengi Sana wanafanyakazi Zanzibar...tena serikalini kabisa
Wengine wametokea Iringa huko hata Dar hawaijui
 
Hata hivyo wamependelewa sana, walitakiwa kupata nafasi 27 tu, Na bara wapate 1,070. Kumbuka ZNZ wako roughly 1.5m while Bara wako 60m.
Upendeleo upi??

Hizi no sheria za Muungano mkuu miaka nenda rudi
 
Upendeleo upi??

Hizi no sheria za Muungano mkuu miaka nenda rudi
Kwani huwezi kuwa na sheria mbovu? Mbona wewe umeomba nafasi ziongezwe, ulikuwa unataka sheria ipi ibadirishwe? Kwanini mwingine asiombe nafasi zipunguzwe?
 
Halafu mtanganyika haruhusiwi kufanya kazi Zanzibar na wao ka nchi hawafiki milion tatu huu muungano una walakini
Huu muungano una siri kubwa, nyerere alishasaini mikataba...inshort siku tukiachana na Zanzibar kesho yake Oman wanatia kambi kuitawala na inakuwa New york ya East Afrika
 
Mkianza kusema nafasi hizi kwa wazinzabar mjue kesho wasukuma ,wahaya,wachaga, etc nao watadai za kwao , na ninavyojua ukiomba kazi TZ huulizwi umetoka wapi sasa sijui ubara na uzanzibari umetoka wapi hapo, kazi zitangazwe anayetaka na mwenye qualifications aombe , hatutaki ukabila,ukanda wala udini
 
Kuna mzanzibari anaijua Tanzania kweli? Ikiwa mnaijua Tanzania. Leseni ya udereva imeandikwa JMT lakini haitakiwi kutumika znz, unakamatwa na askari aliyevaa nembo ya Jamhuri ya muungano wa Tz.

Ukiiuliza unaambiwa si suala la kimuungano. Huu muungano unawanyonya wabara tu. Mzanzibari kujenga nyumba bara si hoja lkn mbara kujenga nyumba zanzibar ni habari.

Mzanzibari kumiliki duka la vileo ni halali lakini kwa mbara zanzibar ni nchi ya kiislam. Aisee nyie mimi nawachukia sana kwa sababu ni wabaguzi kuliko kawa

Mimi ni mbara, nikweri kuna wazanzibar wabaguzi sana. Lakini 2sisahau wabara pia wako wabaguzi, makatiri, roho mbaya, chuki kama ulivyo wewe hapoo unasema "unawachukia sana" badirika babaa.
 
Kwani Wazanzibari ni asilimia ngapi ya Watanganyika kwa idadi yao.
Hata hizo 21% ni nyingi mno mnapaswa kuwa na Shukrani.
 
Back
Top Bottom