Ni asilimia 21 tu zitaenda kwa Wazanzibari katika Nafasi 1,097 za kazi kutoka TRA, marekebisho yanahitajika

Bado kuna tatizo kubwa Tanganyika, angalia teuzi za mabalozi kutoka kwao, makatibu tawala wanatoka zanzibar kuja huku lakini sisi hatuwezi kuwa makatibu tawala huko. Huu muungano haujakaa sawa. Mifano yako ni michache sana na tena kwa jamii yetu huenda hawavijui vitu hivyo.
Mkuu, kuna serikali mbili.

Mambo yanayoihusisha Tanzania yanahusisha pande zote mbili za Tanzania bara na Zanzibar, sasa cha ajabu ni kipi mabalozi, makatibu tawala, n.k wakitokea Zanzibar???

Mambo yanayoihusu Tanganyika, mfano chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) na Medical Council of Tanganyika (MCT) yanawahusu Tanganyika, Mzanibari hahusishwi hapa labda iwe special case.

Mambo yanayohusu Zanzibar mfano shirika la kkusanya mapato (ZRB), Shirika la Mpira (ZFF), ZSSF, n.k ni kwa jli ya wazanzibar pekee.

Sijui ni sehemu ipi huwa mnashindwa kuelewa.
 
Mkuu, kuna serikali mbili.

Mambo yanayoihusisha Tanzania yanahusisha pande zote mbili za Tanzania bara na Zanzibar, sasa cha ajabu ni kipi mabalozi, makatibu tawala, n.k wakitokea Zanzibar???

Mambo yanayoihusu Tanganyika, mfano chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) na Medical Council of Tanganyika (MCT) yanawahusu Tanganyika, Mzanibari hahusishwi hapa labda iwe special case.

Mambo yanayohusu Zanzibar mfano shirika la kkusanya mapato (ZRB), Shirika la Mpira (ZFF), ZSSF, n.k ni kwa jli ya wazanzibar pekee.

Sijui ni sehemu ipi huwa mnashindwa kuelewa.
Muungano uvunjwe hatuutaki
 
Kuna mzanzibari anaijua Tanzania kweli? Ikiwa mnaijua Tanzania. Leseni ya udereva imeandikwa JMT lakini haitakiwi kutumika znz, unakamatwa na askari aliyevaa nembo ya Jamhuri ya muungano wa Tz. Ukiiuliza unaambiwa si suala la kimuungano. Huu muungano unawanyonya wabara tu. Mzanzibari kujenga nyumba bara si hoja lkn mbara kujenga nyumba zanzibar ni habari.

Mzanzibari kumiliki duka la vileo ni halali lakini kwa mbara zanzibar ni nchi ya kiislam. Aisee nyie mimi nawachukia sana kwa sababu ni wabaguzi kuliko kawa

Inakuwaje bado mnao tu hamuandamani kuitoa kwenye huo uvamizi mnaouita muungano ??
 
Wanzanzibar subirini za kwenu za ZRB, nyie ndo mnaongeza uhaba wa ajira Bara, hakuna mbara aliyeko ZRB au ZSSF lakini nyie mko bara mmejazana, wabara tulioko huku znz tuko kibishi lakini hamtaki hata kutuona

Kumbe kazi yenu kuja kutuletea ubishi ??? Mlituvamia kutuletea ubishi ?? kumbe ndio wengine hamna pa kulala mnakamatwa juu majumba ya Michenzani mnalala kwa mamia kama ndio 5 star hotel yenu
 
Tena hizo asilimia ni nyingi sana. Wazipunguze.

Muungano uivunjiliwe mbalini hauna faida yoyote kwa mzanzibari ni nakama na balaa tupu . Mchukue wenyewe zote 1000000000 percent

Mtuwachie nchi yetu mliyoivamia
 
Muungano uivunjiliwe mbalini hauna faida yoyote kwa mzanzibari ni nakama na balaa tupu . Mchukue wenyewe zote 1000000000 percent

Mtuwachie nchi yetu mliyoivamia
Mnasubiri nini kuuvunja?
 
View attachment 1986349

Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.

Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,

230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo

Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
Nadhani kwanza tujue TRA ni ya Muungano? Je Zanzibar hawana taasisi yao inayokusanya kodi? Kama TRA siyo ya Muungano hata hizo ni kuwadhurum watanganyika. Lakini kama ni ya muungano tuangalie wingi wa wahitimu je ni upande gani una idadi kubwa ya wahitimu wenye sifa?
 
Nadhani kwanza tujue TRA ni ya Muungano? Je Zanzibar hawana taasisi yao inayokusanya kodi? Kama TRA siyo ya Muungano hata hizo ni kuwadhurum watanganyika. Lakini kama ni ya muungano tuangalie wingi wa wahitimu je ni upande gani una idadi kubwa ya wahitimu wenye sifa?
Tanzania Revenue Authority.

Tanzania = Tanganyika + ???????
 
View attachment 1986349

Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.

Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,

230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo

Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
mkuu hayo ya uzanzibar na utanganyikar yametoka wapi? Tanzania ni moja na watanzania ni wamoja hakuna cha wazanzibar wala cha watanganyika. Sote ni watanzania.

Ajira hutangazwa na kutolewa kwa watanzania na sio kwa watanganyika au wazanzibar. Nchi yetu ni moja ya Tanzania.
 
View attachment 1986349

Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA.

Katika hizi nafasi 1,097, ile asilimia 21 itakuwa sawa na wazanzibari 230 tu,

230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo

Naona ingependeza walau kuwe na wazanzibar 300 ili kufidia fidia vijana wengi ambao bado wapo mitaani na degree zao.
TRA si suala la muungano Zanzibar kuna ZRA, huku waombe tu kama wengine
 
Back
Top Bottom