Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,894
- 12,671
Mkuu Hapa umetema madini mazuri Sana hakika.Wanaume wote walioishi maisha yao kuwafurahisha na kuwaridhisha wanawake wote wameangamia na wengine wapo kwenye majuto makuu.......
Mwanaume jifunze sana kuuzuia moyo wako kwenye Yale mambo yaliyo nje ya uwezo wako.......
Kwenye maisha usiishi kushindana au kubishana na mwanamke abakie kwenye maisha yako.....mpe machaguo ili abakie kwa khiyari yake na aondoke kwa khiyari yake.......