Mungu akusaidieUkimwi sio tatizo tena nchini, vp kwan huko kwenu kuna waathirika?
Angalia akili zetu hizi zilivyo, Sisi shirika letu ndio linayoa pesa, sasa nitoe pesa halafu nifaidike tena na kupiga dili??kama ulikuwa unafaidika na kuuza ma tshirt ya siku ya ukimwi kwa serikali... awamu hii tafuta cha kufanya...
awamu ya jembe magufuli sio ya mchezo mchezo