Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Soma taarifa hii utaelewaKashindwa kesi? Pingamizi?
Soma taarifa hii utaelewaKashindwa kesi? Pingamizi?
Cha kumtukania mtu kiko wapi hapo?Ulivyo na akili ndogo hukawii kudai hadi mama yako mbowe alimrithi ndio mkapatikana nyie na wadogo zako!
imekuuma sana sio?Kwa masuala binafsi wanakimbilia mahakamani, kwa maslahi yao ya kisiasa, wanatumia vyombo vya habari, mikutano ya hadhara na maadamano, kudai kile kisichokuwepo, mradi waonekane wapo na wasikike
HAPO KWENYE ELIMU HAPO..Makamanda tuipongeze mahakama kwa kutenda haki.
Lakini tusisahau Mbowe anatakiwa kujitokeza kueleza kuhusu elimu yake...
watasema kuna simu alipigiwa judge kutoka ikuluHapana Mkuu. Haki haijatendeka. Haki ingetendeka tu kama Mbowe angeshinda kesi
Najua, manaake habari za kutoka mahakamani sio nzuri hata kidogo.umeniudhi sana aiseee
nashauri umwambie Godbless J Lema apeleke muswada binafsi kuhusu mabadiliko ya katiba kwenye swala la viongozi wakuu wa nchi na swala la kodiJe,wewe una maoni gani kuhusu yule ambae hata mshahara wake haukatwi kodi nae ameridhika tu?
ukirejea maneno ya butiku utaelewa kwanini mahakama imetoa hukumu hiyo, halafu jana sijakuona kwenye msiba,Najua, manaake habari za kutoka mahakamani sio nzuri hata kidogo.