Do, wapi Dr. SlaaUtapeli tapeli halafu upo upinzani!!
Kamanda wewe una maoni ganiMbowe kama bado una amini haki haijatendeka,kata rufaa.
Hivi kwa akili yako hapa unaona Mbowe anashindana na mahakama ? Baada ya Mbowe A.K.A yule jamaa kushughulikiwa na NHC , kuna mwingine aliyeshughulikiwa ?Kama kashindwa kesi alipe kabisa wala sioni tatizo la kwendelea kushindana mahakamani......
Dawa ya deni ni kulipaMbowe wewe ni kaka yangu lipa tu den maana hakuna namuna kamanda lakin mimi nilikua najua hilo jengo ni lako pole sana kamanda
Mwambie Mbowe alipe deni. Hakuna namna.Hivi kwa akili yako hapa unaona Mbowe anashindana na mahakama ? Baada ya Mbowe A.K.A yule jamaa kushughulikiwa na NHC , kuna mwingine aliyeshughulikiwa ?
Hahahahahaaaaaa! Wamevurugwa!Pro-Chadema JF utasikia wanasema Mahakama aitendi haki baada ya kesi ya Mbowe kutupiliwa mbali.
Hamna namna Mbowe alipe deni.
Alipe wapi wakati n fisadi, mnyonyaj, mkwepa kodi, mhujum uchumi wetu, angekua na maadili s angelipa ata mwanzo, dj zero lipa kod yetu tafadhaliKama kashindwa kesi alipe kabisa wala sioni tatizo la kwendelea kushindana mahakamani......
kumbe ulimaanisha nniHa ha ha, sijamaanisha hivyo kamanda.
Ulitaka nimaanishe nini kamanda?kumbe ulimaanisha nni
umeniudhi sana aiseeeUlitaka nimaanishe nini kamanda?
Hapana Mkuu. Haki haijatendeka. Haki ingetendeka tu kama Mbowe angeshinda kesiNaona huu uzi makamanda wameukimbia kabisa wakati haki imetendeka.
Je,wewe una maoni gani kuhusu yule ambae hata mshahara wake haukatwi kodi nae ameridhika tu?Kamanda wewe una maoni gani
Subiri uone mwisho wake .Mwambie Mbowe alipe deni. Hakuna namna.
Sasa kwa kesi hii haki ya Mbowe iko wapi zaidi ya Haki ya kulipa Deni?sio mbaya haki ya mtu haipotei hivi hivi ila hucheleweshwa tu
kama haki haijatendeka kata rufaa
Mwisho wa deni ni kulilipaSubiri uone mwisho wake .
Kashindwa kesi? Pingamizi?Kama kashindwa kesi alipe kabisa wala sioni tatizo la kwendelea kushindana mahakamani......