Tupeleke huko Kibaha ambapo 100x100 unapata kwa 20m mkuu.Yaani nitoe milioni 112 kwenye makazi kama mabweni ya wanafunzi wakati nikienda hao kibaha napata kiwanja kikubwa MIta 100 Kwa 100 Kwa shilingi milioni20-30.ukiishi kwenye apartment ni matumizi mabaya pa pesa
Sasa mtu kapiga pesa hajui pa kupeleka anaona bora achukue hukoKila shetani na mbuyu wake. Mtashangaa zimeisha muda mfupi tu ujao.
Magomen kota wahusika wamegoma lipa hela ya taka, ulinzi, umemeTupeleke huko Kibaha ambapo 100x100 unapata kwa 20m mkuu.
Hata hivyo, bongo kuishi kwenye flats ni kama kuishi utumwani.
Huna hela wewe, kaa kimyaBalaa limeletwa na uwepo wa jina samia kwenye huo mradi,chochote chenye ushiriki wa jina lake ni nuksi lazima kiende ndivyo sivyo.
Ni kawaida masikini kuona wenye hela wote ni wajingaHuwezi kukosa Watanzania wajinga watakaonunua hizo apartment, wengine ni mafisadi na wauza poda watakatishaji fedha.
Pole sana,una maisha magum7Balaa limeletwa na uwepo wa jina samia kwenye huo mradi,chochote chenye ushiriki wa jina lake ni nuksi lazima kiende ndivyo sivyo.
3-bedrooms kwa 335m, kweli watanzania wenzetu wana pesa.Kila shetani na mbuyu wake. Mtashangaa zimeisha muda mfupi tu ujao.
Beach front house za marekani ni hatari ndio maana zinakua cheap.Yaani Bei za Nyumba TZ zinazidi hadi USA beach Front house.
Huwezi kukosa Watanzania wajinga watakaonunua hizo apartment, wengine ni mafisadi na wauza poda watakatishaji fedha.
Ila Wabongo mmekariri sana maisha. Watu kibao na pesa zao wanakaa kwenye apartments Upanga,Masaki,Obay,Mikocheni etc. Unafikiri hao hawana uwezo wa kujenga hivi vibanda kama vyetu huku Makabe,Bonyokwa,Segerea etc?Tupeleke huko Kibaha ambapo 100x100 unapata kwa 20m mkuu.
Hata hivyo, bongo kuishi kwenye flats ni kama kuishi utumwani.
Wengi hatujazoea kuishi kwenye apartments, wala sio kuwa nazo, mazoea tu!Ila Wabongo mmekariri sana maisha. Watu kibao na pesa zao wanakaa kwenye apartments Upanga,Masaki,Obay,Mikocheni etc. Unafikiri hao hawana uwezo wa kujenga hivi vibanda kama vyetu huku Makabe,Bonyokwa,Segerea etc?
Sasa mazoea yako yasifanye uone wanaoishi huko wanaishi utumwani. Wanajisikia raha kuliko wangejenga huko kibaha sijui chanila kwenye kiwanja cha sqm1000.Wengi hatujazoea kuishi kwenye apartments, wala sio kuwa nazo, mazoea tu!
Oh kumbe ,ndiyo maana nilikuwa nashangaa sana Kwenye House hunters Beach Front Houses bei ya kawaida tu ambazo ukilinganisha na Bongo.Beach front house za marekani ni hatari ndio maana zinakua cheap.
Waulize LA ule moto ulichowafanya.
Ni mawazo yangu na walio wengi, hata tukiongea mitaani wengi sio wapenzi wa kuishi kwenye flats, sikatai wapo wanaopenda, ndio maana nimeongelea majority..hakuna kisicho na exception, sema umechukulia kama vile ni woteSasa mazoea yako yasifanye uone wanaoishi huko wanaishi utumwani. Wanajisikia raha kuliko wangejenga huko kibaha sijui chanila kwenye kiwanja cha sqm1000.
Mkuu huku ulaya ndo zetu walala hoi hizo terrace, semi terraced, detached na semi detached na town house ni za matajiri.Katika vitu ambavyo sipendi ni kuishi kwenye penthouse / appartments /condo /flat.
Napenda kuishi kwenye nyumba inayojitegemea peke yake yenye space kubwa atleast sqm 1600.