NHC: Hatujamuonea Mbowe

Duh! Kumbe ni kwa sababu ya kupambana na Magufuli!? ina maana asingepambana naye basi NHC wasingetumika kisiasa!!! Kweli nduli wa visasi katinga nchini!

Hakuna siasa hapo NHC wanafanya kazi Yao afu magu ajatajwa hata kidgo hapo
 
Wadeni wengi tumeamua tuanze na mbowe je hamuwezi kuishia na mbowe pia
 
September 1 ina mengi ukuta kupatwa kwa jua maazimisho ya jeshi kukusanya madeni nhc
 
Hivi tutaendelea kweli kwa style hii, shirika la umma linaacha deni kwa mtu mpaka linafikia bilioni! Shirika lina bodi, mkurugenzi na maofisa wanaoliendesha. Deni linakuwa NHC wanaliangalia tu, Magu angeanza kuwatumbua hao kwanza km anataka Tz ya wananchi wa maisha ya kati.
 
Mpaka inafika B mlikua wapi?NHC ni jipu

Hili ndilo swali. Zikimwagwa data zote za mashirika ya umma kama NHC jinsi yanavyosimamia malipo na madeni ya wateja, tunaweza kushangazwa jinsi mabilioni ya pesa ya umma yanavyohujumiwa kwa kutozingatia kikamilifu taratibu na kanuni zilizowekwa - au hata kwa kuwa na taratibu na kanuni legelege ambazo wahusika hawana utashi wa kuziimarisha kwa faida yao.

Halafu NHC wasimdanganye mtu. Hatua wanazochukua dhidi ya biashara za Mbowe zina kila dalili ya kutumiwa kisiasa. Yaani katika wadaiwa lukuki zikiwemo taasisi za serikali wanaona kusema "... pamoja na kwamba wadaiwa wako wengi, tumeamua kuanza na Mbowe" ni kauli ya kawaida tu! Leo hii? That's too much of a coincidence with current events. Sisi SI wahamiaji au wageni; tunaifahamu nchi yetu vizuri sana. Na hatuwashangai kwa hilo. Ndio michezo ya nchi zetu za dunia ya tatu.
 
Kwani ulitaka waenze na nani?
 
Si kuna kesi mahakamani kuusu mmiliki halali wa hili jengo?
 

NAONA NGOMA WANAPIGA WAO WANACHEZA WAO. MWENYE MALI HAJALALAMIKA WALA KUSEMA LOLOTE MPAKA SASA, WASIWASI WA NINI, HII TAMTHILIA SERIES ZAKE NI NZURI SANA 😀😀😀😀😀😀😀
 
Duh! Kumbe ni kwa sababu ya kupambana na Magufuli!? ina maana asingepambana naye basi NHC wasingetumika kisiasa!!! Kweli nduli wa visasi katinga nchini!
Alipe deni la pango na sio kutetea upuuzi kwa mgongo wa siasa...kama alipewa notisi kwa nini hakulipa...hii tabia yake ya udeni sugu hata NSSF anawasumbua...ngoja kesi ziishe mahakamani.
 
Mpaka inafika B mlikua wapi?NHC ni jipu
Nashikwa kichefu chefu ufanisi wa watedaji wetu wansfanya kazi kwa mazoea kweli hadi inafikia B,halafu nakumbuka kaka yangu Mbowe maneno yake katika Vilili

Tarehe 16/4/2015 mbowe alisema nanukuu "Rais JK amekaa kimya kwa baadhi ya wafanyabiashara wasiolipa kodi na wengi wao ni wale wanachama wa CCM"

Tarehe 1/8/2016 NHC wanasema nanukuu"Tumempa Mbowe Notes ya kuhama kwenye jengo letu baada ya kulimbikiza deni la zaidi ya 1.5 Bil mpaka sasa hajalipa"

Ni kweli hii ni Siasa?ama anaonewa? ni viongozi wangapi wanatabia kama ya Mh Mbowe?Bg Up JPM rudi sasa ndani ya Mapapa wa CCM hapo ndio utagundua mtu amelimbikiza T sio B tena
 
mie nadhani swala hili ni la kibiashara baina ya Mbowe Hotels LTD na NHC. mbowe hotels ltd ni kampuni inayojitegemea kisheria " there are bearers of assets and liabilities" wala si CHADEMA. CHADEMA nichama cha sasa chenye usajili na malengo tofauti..you should demarcate between Mbowe a CHADEMA chairperson and Mbowe the owner of mbowe hotels ltd. vilevile, NHC ni shirika la umma wrote wa Tanzania wala so CCM peke yao. hiyo mteja yeyote bila kujali ranging, itikadi, n.k lazima alipe..kama kuna tatizo la kimkataba kwenye biashara hiyo au uonevu mahakam zipo....
 
Kwani ulitaka adaiwe lini? Umesoma habari vyema? Alipewa notisi ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…