mzalendoalltz
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 828
- 709
Ulitaka ichapwe na uhur...Siamini kama taarifa hii imechapishwa na Mwanahalisi Online
Au?
Ulitaka ichapwe na uhur...Siamini kama taarifa hii imechapishwa na Mwanahalisi Online

Mkuu ukijua hiyo kitu iliyosababisha utasikitika sana, ila ngojaApigwe na faini ikiwezekana ndo hivo mwenyekiti wangu lipa kodi tujenge nchi viva chadema

OvyoooDuh! Kumbe ni kwa sababu ya kupambana na Magufuli!? ina maana asingepambana naye basi NHC wasingetumika kisiasa!!! Kweli nduli wa visasi katinga nchini!
Kumbe ni siasa zinazofanyika na sio ishu ya biashara?Hehehe anajua kuropoka huku halipi kodi,
Kila kutwa Dubai tu.
Huyu ni Magu hakuna mchezo
UMUNGU MTU WAKO PELEKA UFIPA
Kwa Magu hakuna kuangalia sura.
Pongezi kubwa kwa NHC
Deni analo,hana?."Pamoja na kwamba wadaiwa wapo wengi, tumeamua kuanza na Mbowe"
Halafu anakataa hili sio suala la kisiasa.
Kwanini Mbowe?
Hiyo ipo sana na ni kawaida kwa Tz.Tutasikia mengi mwaka huu, inaweza fikia ukitaka nyumba za NHC unaulizwa chama gani, Tanzania ni yetu sote
Hii ni siasa 100% kataa kubali lkn ndiyo hivyo.Suala la Mbowe ni la kibiashara zaidi. Hakufuata masharti ya kupanga. Msichanganye masuala ya biashara na siasa
Kwahiyo Magufuli kaamua kupambana na Mbowe siyo?Mboweeeeeee! Kashikwa na kwikwi. Tuone kama ataendelea kupambana na Magufuli
Huu ndio ukweli mchungu.Mbona mnajitetea sana ? Si kodi hajalipa na mnaweza pia kuthibitisha hilo ,Kelele za nini ? Mara hatujamuonea ,oh sio swala la kisiasa ,hata kama sio la kisiasa ,mmekosea timing huwezi kuniaminisha shinikizo la kisiasa halijatumika wakati ambao nchi ilikuwa kwenye homa ya Ukuta Mbowe akiwa ndio Captain
Jaji ukiruhusu mboe ashinde. Huna kazi.Siwezi nikatetea mkwepaji kodi hapa tuache unafiki, kama ni mdaiwa sugu ashughulikiwe bila huruma kama anaonewa atashinda na NHC itaumbuka na kulipa fidia.
Kwa Magufuli kila goti litapigwa.
Hata wakwepa kodi Chadema waliofukuzwa Leo billicanas ipo siku watatubu na kuachana na wizi wa kuwaibia watanzania.
Ingawa baadae inawezekana style ya kutimua wapangaji ikabdilika. Huu mwaka tutasikia mambo mengi sanaDuuu wadaiwa wapo wengi ila tumeanza na mbowe!!!!!
Kwani wapi nimesema asidaiwe,mi nimepongeza shirika,kina wadeni wengi ila wameamua kuanza na Mbowe,we huoni kwamba ni mfano bora??Mtu ana 1.3 bilion unataka zifike ngapi ili wadai?
Embu tuelezee huyu kabacholi nae tumchunguzeCCM bana asee. Kitu kidogo kinakua kikubwa . Hivi mnajua mkataba WA manji pale Quality plaza na hao NHC ? Time will speak.