Baada ya kuanzisha mapambano na magu ndio wameona namna pekee ya kumpunguza huyu jamaa speed ni kumwangusha kiuchumiMpaka inafika B mlikua wapi?NHC ni jipu
Naona unasasambuaWasomi wamekuwa watumwa was wanasiasa a.
Wakati mwingine una kauzalendoukiachana na hayo yote...mbowe kwa nafasi yake hapaswi kuwa na makandokando kamwe
Nonsense Mwasenga, anadhani wote ni wapumbavu/ majuha kama yeye! Why start with Mbowe?View attachment 391870
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limeeleza kuwa, hatua ya kufungia Kampuni ya Hotels Limited (MHL) ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa si ya kisiasa,*anaandika Pendo Omary.
Leo NHC kupitia wakala wake Fosters Auctioneers (Sio Action Mark) wamevamia jengo lililopo kampuni hiyo katika makutano ya Mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam na kuchukua vifaa vya kampuni hiyo katika upande wa uzalishaji gazeti.
Hatua hiyo inatokana na madai kwamba, NHC inadai kampuni hiyo jumla ya Sh. 1.3 Bilion na kwamba, bado hazijalipwa mpaka sasa licha ya kutoa muda stahili wa kulipwa deni hilo.
Ndani ya Hampuni ya MHL kuna Kampuni ya Free Media inayozalisha Gazeti la Tanzania Daima la kila siku.
Japhet Mwasenga, Meneja wa Kitengo cha Ukusanyaji Madeni katika Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) amesema, kuondolewa kwa kampuni ya Mbowe katika jengo hilo hakuhusiani na masuala ya kisiasa.
Mwasenga amewaambia waandishi wa habari leo mapema asubuhi wakati NHC ikisimamia shughuli ya uondoshaji vifaa kwenye jengo hilo kuwa “hiki kinachofanyia sio siasa. Hili sio suala la Mbowe peke yake. Ni suala la kiutendaji, pamoja na kwamba wadaiwa wako wengi, tumeamua kuanza na Mbowe.
“Tumefuata taratibu zote kumwondosha mpangaji wetu. Alishapewa taarifa na sisi kama taasisi ya umma, tuliendelea kumvumilia kwa muda mrefu lakini leo tumefika mwisho,” amesema Mwasenga.
Joshua Mwaituka, Mkurugenzi wa Kampuni ya udalali ya Fosters Auctioneers inayosimamia shughuli ya uondoshaji vifaa katika nyumba hiyo amesema, vifaa vyote vilivyondolewa vitahifadhiwa na kampuni hiyo mpaka hapo deni hilo litakapolipwa.
Source: Mwanahalisi Online
Miaka 20 hajalipa kodi!Hii kodi ya shilingi 1.3 billioni ni ya kuanzia lini mpaka lini?
HaswaaaKwa Magufuli kila goti litapigwa.
Hata wakwepa kodi Chadema waliofukuzwa Leo billicanas ipo siku watatubu na kuachana na wizi wa kuwaibia watanzania.
Hii ni full politics usidanganye watu hapa. Na kumbuka kipindi nccr iliposhika kasi miaka ya 1999 wafanyabiashara wengi walifanyiwa figisu kama hizi za Mbowe hadi baadhi kubambikiwa bili kubwa na madeni ya tanesco na tra kule iringa. Ushahidi upo kwani yule mzee hoteli na biashara zake zilifungwa hadi alipokubaki kuwa kada wa ccm. Siishangai nhc kutumikia ccm badala ya watanzania wote kwa haki.Suala la Mbowe ni la kibiashara zaidi. Hakufuata masharti ya kupanga. Msichanganye masuala ya biashara na siasa
Wewe mwenyewe umewekezwa tu hapo ulipo. Unfukuze una nyumba wewe unayomiliki? Ushaacha kulala mitaroni na kwenye makorido ya wahindi?Na pale Ufipa nimempa notice asipolipa nafukuzia mbaaaaali huko, ofisi ataweka nyumbani kwake
Lipeni kodi acheni kulialiaTunaishi katika jamii ambayo bado ni duni kivitendo na kifikra. Kwa vitendo kama hivi ni vigumu sana nchi hii kupata maendeleo. Tunaongelea nchi ya viwanda, hivyo viwanda vitajengwa na wanachama wa CCM pekee yao? Maana siamini kwa mtu ambaye siyo mfuasi wa CCM kama anaweza kufanya uwekezaji mkubwa usiohamishika kwa kipindi hiki kutokana na hofu inayojengwa.
Ni mjinga pekee yake atakayeamini kuwa limefanyika hili bila ya sababu za kisiasa maana hata maelezo yenyewe yapo wazi kuwa, 'tumeanzia na Mbowe ....', sababu za kuanzia na Mbowe hazikuelezwa.
Uje kutoa hongera kwa mbowe atakavowachallenge kisheria na atakapowashinda na mlazimike kumlipa piaHongereni sana nhc.
Kwasababu ni mdaiwa sugu na deni lake ni kubwaTunaishi katika jamii ambayo bado ni duni kivitendo na kifikra. Kwa vitendo kama hivi ni vigumu sana nchi hii kupata maendeleo. Tunaongelea nchi ya viwanda, hivyo viwanda vitajengwa na wanachama wa CCM pekee yao? Maana siamini kwa mtu ambaye siyo mfuasi wa CCM kama anaweza kufanya uwekezaji mkubwa usiohamishika kwa kipindi hiki kutokana na hofu inayojengwa.
Ni mjinga pekee yake atakayeamini kuwa limefanyika hili bila ya sababu za kisiasa maana hata maelezo yenyewe yapo wazi kuwa, 'tumeanzia na Mbowe ....', sababu za kuanzia na Mbowe hazikuelezwa.