NHC: Hatujamuonea Mbowe

NHC: Hatujamuonea Mbowe

Tushamuelewa huyo mkurugenzi na pia nhc katika sakata hili, asitumie nguvu nyingi kujitetea! hata mtoto wangu wa nursery nikimpa scenario ataelewa tu
 
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni.
Yule mzee aliyekuwa anatupigia kelele kila siku kuwa hawataki mafisadi kumbe ndiye Babu wa mafisadi.
Mh Mbowe anachokiongea sicho anachokimaanisha, Watanzania tulidhani ungekuwa mfano wa Kuigwa wa kuliPa kodi za watanzania kumbe ww ndiye unahodhi na mkwepaji mkuu.

Tulidhani utasimama kusaidiana na Mh Rais kuhakikisha nchi inarudi kwenye misingi yake, kumbe ulijaa unafiki na uzandiki mtupu kwa kutafuna usichopanda.
Kumbe ww ni fisi, unavuna usichopanda, unakusanya usivyo tawanya, ole wako ww fisadi wa kodi za Watanzania wakati wako umekwisha.
 
Ndio maana kila kitu anapinga kinachofanywa na serikali
 
sasa wewe lizibon ulitaka asidaiwe wakati ana deni mbona mnajitoa akili kwa vitu ambavyo havihitaji taaluma.
 
Back
Top Bottom