NHC: Hatujamuonea Mbowe

NHC: Hatujamuonea Mbowe

Mbowe alipe deni full stop.

Hela zote alizouza chama ametumia kuprinti t shirt za UKUTA ,huku akijua UKUTA haupo.!!

Waosha miguu wake mmeanza kutetea kwa ngonjera zisizo na kichwa wala miguu
Mbowe alipe lakini na huyu jamaa ni jipu achunguzwe
 
Wakuu salaaa

Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!

Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako

Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!


Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!
!

Atajenga nyumba kwa hela ipi wakati hamtaki kulipa kodi ya pango? Mkiulizwa mnajificha kwenye siasa, na sasa Mwenyekiti wako ametoka na single ya kumiliki jengo kwa asilimia 75. Ogopa wapalestina.
 
Atajenga nyumba kwa hela ipi wakati hamtaki kulipa kodi ya pango? Mkiulizwa mnajificha kwenye siasa, na sasa Mwenyekiti wako ametoka na single ya kumiliki jengo kwa asilimia 75. Ogopa wapalestina.
Mimi si mtetei mbowe wala sijawakuwa chadema lakini huyu jamaa ni jipu!!
 
Atajenga nyumba kwa hela ipi wakati hamtaki kulipa kodi ya pango? Mkiulizwa mnajificha kwenye siasa, na sasa Mwenyekiti wako ametoka na single ya kumiliki jengo kwa asilimia 75. Ogopa wapalestina.
Mbowe alipe kodi lakini na huyu jamaa ni jipu achunguzwe
 
Wakuu salaaa

Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!

Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako

Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!

Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!

Njoo kwanza mtuambie
Mikataba wa NHC na Ile foundation ya mke wa Kikwete mlipojenga magorofa ya Dodoma mliingiaje kwanini shirika LA Nyumba la taifa waingizwe watu wachache kumiliki share kama nani wao ?

Niko na mengi lakini ushauri hapa nataka Rais magufuli amchunguze huyu bwana ni jipu !!
Hapa mkuu unafeli sana.
1:Ulipaswa kuyasema haya kabla hata ya hili suala la mbowe.
2:Utendaji mbovu wa Mchechu ulioudukua hauna uhusiano wowote na kutokulipa kodi kwa kampuni inayomuhusisha kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani.
3:Watanzania tunapotaka mabadiliko, Yanatakiwa kuongozwa na watu ambao hata kama wanatuhuma basi ziwe angalau hazina uthibitisho, lkn kwa mazingira haya. Inabidi yeye mwenyewe aje atuonyeshe kuwa hakukwepa kodi na anasingiziwa kwa ushahidi.
4:Kwa busara ili njia ya Ukombozi wa kweli isijiongezee miiba na mizigo mizito isiyo ya lazima, Ikithibitika beyond dought kuwa alikwepa hata sumni, Basi Hana uhalali wa kusimama kwenye jukwaa lolote la kisiasa, alipe deni na kuendelea na biashara. Ukweli kwamba wapo wengi wanakwepa hauna uhusiano na ukwepaji wa kiongozi kama huyu.

TUNATAKA CONSCIOUS POLITICS sio za UFUASI NA UPAMBE. Usipoelewa leo uelewe hata baadae ukitulia,
 
View attachment 391870
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limeeleza kuwa, hatua ya kufungia Kampuni ya Mbowe Hotels Limited (MHL) ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa si ya kisiasa,*anaandika Pendo Omary.

Leo NHC kupitia wakala wake Fosters Auctioneers (Sio Action Mark) wamevamia jengo lililopo kampuni hiyo katika makutano ya Mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam na kuchukua vifaa vya kampuni hiyo katika upande wa uzalishaji gazeti.

Hatua hiyo inatokana na madai kwamba, NHC inadai kampuni hiyo jumla ya Sh. 1.3 Bilion na kwamba, bado hazijalipwa mpaka sasa licha ya kutoa muda stahili wa kulipwa deni hilo.

Ndani ya kampuni ya MHL kuna Kampuni ya Free Media inayozalisha Gazeti la Tanzania Daima la kila siku.

Japhet Mwasenga, Meneja wa Kitengo cha Ukusanyaji Madeni katika Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) amesema, kuondolewa kwa kampuni ya Mbowe katika jengo hilo hakuhusiani na masuala ya kisiasa.

Mwasenga amewaambia waandishi wa habari leo mapema asubuhi wakati NHC ikisimamia shughuli ya uondoshaji vifaa kwenye jengo hilo kuwa “hiki kinachofanyia sio siasa. Hili sio suala la Mbowe peke yake. Ni suala la kiutendaji, pamoja na kwamba wadaiwa wako wengi, tumeamua kuanza na Mbowe.

“Tumefuata taratibu zote kumwondosha mpangaji wetu. Alishapewa taarifa na sisi kama taasisi ya umma, tuliendelea kumvumilia kwa muda mrefu lakini leo tumefika mwisho,” amesema Mwasenga.

Joshua Mwaituka, Mkurugenzi wa Kampuni ya udalali ya Fosters Auctioneers inayosimamia shughuli ya uondoshaji vifaa katika nyumba hiyo amesema, vifaa vyote vilivyondolewa vitahifadhiwa na kampuni hiyo mpaka hapo deni hilo litakapolipwa.

Source:
Mwanahalisi Online
Habari gani ya upande mmoja ,mnawahoji NHC mnawahoji madalali ,hamumuhoji mpangaji?
 
Kodi anapokea kila siku kutoka wapi kama akina Mbowe wapangaji hawalipi kodi. Mlipeni hizo bilion then mtoe malalamiko kua hajengi nyumba

Ndio huo udhaifu huyo mleta mada anapotaka huyo Mchechu akaguliwe maana deni mpaka kufikia hapo na bado yuko ofisini ni udhaifu wa hali ya juu katika kukusanga kodi. Hilo sakata la Mbowe ni matokeo ya siasa za chuki na visasi ndio maana unaona mkurugenzi wa NHC anaona fahari kupambana na mdaiwa wa kisiasa, kwa lengo la kufurahisha wanasiasa wa kundi lingine bila kujiuliza inakuwaje hawezi kukusanya kodi na bado anakalia ofisi ya umma. Nilitaraji kama suala hili sio la kisiasa tungeona wadaiwa wote wakikutana na madhila hii, lakini kiukweli hata ukichunguza utakuta hata huyo mkurugenzi ana mikataba mingi sana inayoenda kinyume na maadili ya umma na haguswi kisa anajipendekeza kwa watawala. Hapa hakuna cha madai wala nini bali ni siasa chafu na chuki, huku watendaji wakifanya kazi chini ya viwango na kuchezeshwa mziki na wanasiasa.
 
Wakuu salaaa

Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!

Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako

Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!

Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!

Njoo kwanza mtuambie
Mikataba wa NHC na Ile foundation ya mke wa Kikwete mlipojenga magorofa ya Dodoma mliingiaje kwanini shirika LA Nyumba la taifa waingizwe watu wachache kumiliki share kama nani wao ?

Niko na mengi lakini ushauri hapa nataka Rais magufuli amchunguze huyu bwana ni jipu !!
Mkuu ulikuwa wapi siku zote kutujuza hayo mpaka usubiri Mbowe atolewe nje ya nyumba ?
 
Wakuu salaaa

Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!

Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako

Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!

Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!

Njoo kwanza mtuambie
Mikataba wa NHC na Ile foundation ya mke wa Kikwete mlipojenga magorofa ya Dodoma mliingiaje kwanini shirika LA Nyumba la taifa waingizwe watu wachache kumiliki share kama nani wao ?

Niko na mengi lakini ushauri hapa nataka Rais magufuli amchunguze huyu bwana ni jipu !!
Magufuli si ndio aliibia NHC kwa kuuza nyumba kwa wadogo na hawala zake gazeti la RAI mbona liliandika sana hata jina la kimada aliyepewa nyumba walilitaja kesi ya nyani kwa ngedere
 
Mbowe alipe deni full stop.
Hela zote alizouza chama ametumia kuprinti t shirt za UKUTA ,huku akijua UKUTA haupo.!!
Waosha miguu wake mmeanza kutetea kwa ngonjera zisizo na kichwa wala miguu
 
Ndio huo udhaifu huyo mleta mada anapotaka huyo Mchechu akaguliwe maana deni mpaka kufikia hapo na bado yuko ofisini ni udhaifu wa hali ya juu katika kukusanga kodi. Hilo sakata la Mbowe ni matokeo ya siasa za chuki na visasi ndio maana unaona mkurugenzi wa NHC anaona fahari kupambana na mdaiwa wa kisiasa, kwa lengo la kufurahisha wanasiasa wa kundi lingine bila kujiuliza inakuwaje hawezi kukusanya kodi na bado anakalia ofisi ya umma. Nilitaraji kama suala hili sio la kisiasa tungeona wadaiwa wote wakikutana na madhila hii, lakini kiukweli hata ukichunguza utakuta hata huyo mkurugenzi ana mikataba mingi sana inayoenda kinyume na maadili ya umma na haguswi kisa anajipendekeza kwa watawala. Hapa hakuna cha madai wala nini bali ni siasa chafu na chuki, huku watendaji wakifanya kazi chini ya viwango na kuchezeshwa mziki na wanasiasa.
Mkuu hakuna siasa hapo ni swala la mtu kulipa kodi tuu.
 
Hili jambo lina msukumo wa kisiasa. No doubt about it. Wala huhitaji kuwa na PhD ya chemistry kuelewa hilo.
 
tUNAJUA WADAU SUGU WENGI SANA WA NHC, DAWASCO, NA TANESCO MSIHISHIE KWA MBOWE. MKISHIA HAPO NI SIASA IPO SIUKUMTAFICHA SURA ZENU
 
Tutasikia mengi mwaka huu, inaweza fikia ukitaka nyumba za NHC unaulizwa chama gani, Tanzania ni yetu sote
Kama mbowe hatimizi wajibu wake kimkataba mnatarajia aachiwe tu. KILA MTU NI SAWA KWENYE UTAWALA WA SHERIA
 
Mkuu hakuna siasa hapo ni swala la mtu kulipa kodi tuu.

Ndio maana nasema Mbowe alipe na kama hawezi aachie jengo. Ila ni yeye tu anayedaiwa, na kama kweli anadaiwa, huyo mkurugenzi alikuwa wapi muda wote huo mpaka deni likafikia hapo? Je ni kiasi gani nchi inakosa kwa wote ambao hawajalipa kama Mbowe tu ni kiasi hicho? Na inakuwaje bado huyo mkurugenzi anakalia ofisi wakati kuna madeni mengi kiasi hicho? Huoni hapo kuna siasa chafu kama bado kwa udhaifu wote huo mkurugenzi wa NHC anaendelea kukalia ofisi wakati mapato ya nchi yanapotea mikononi mwa kina Mbowe na wengine?
 
Back
Top Bottom